Aliepandisha dora nakushusha tzs ni nani

freyhone

Member
Oct 28, 2011
15
0
Nashindwa kuelewa toka juzi shilimgi ya tanzania imekuwa ikishuka kwa kasi ya ajabu lkn kifika leo mida ya sa 10 ikabadilika hadi kufikia sh 1600 Kwa dola 1 Wakati ilikuwa 1875 Asubuhi,jamani nani anachezea uchumi huu,ni watu kiasi gani watakuwa ameingia hasara kwa siku izo silizo pita,yani apa kunashida kwenye hii serikali
 
Nashindwa kuelewa toka juzi shilimgi ya tanzania imekuwa ikishuka kwa kasi ya ajabu lkn kifika leo mida ya sa 10 ikabadilika hadi kufikia sh 1600 Kwa dola 1 Wakati ilikuwa 1875 Asubuhi,jamani nani anachezea uchumi huu,ni watu kiasi gani watakuwa ameingia hasara kwa siku izo silizo pita,yani apa kunashida kwenye hii serikali


Kama ni hivyo basi kuna tatizo, na kuna watu walifanya makusudi . Kuna mawili either watu walificha dola majumbani ili ziadimike wapandishe bei, au Bank Kuu inajua ilichofanya. Na kama walijua solution kwa nini wameacha watu waumie kiasi hicho!!!!
 
Bot baba yao...kaweka policy mpya so kapunguza uwezo wa mabank kumiliki fedha za kigeni na sheria kali ikiwemo inspection ya kustukiza kila wakati mpaka kwa maduka madogo yanabadirisha fedha za kigeni.. Shilingi imekua ikishuka thamani kwa takribani pointi 10 mpka 20 kila siku kutoka kwa kama wiki mbili mfululizo na leo ndio imevunja rekodi...imeshuka toka 1853 iliyofunga jana mpaka 1650 iliyofunga leo ikiwa ni teremko la zaidi ya asilimia zaidi ya 12%...kuanzia jumatatu tutegemee kushuka zaidi kwa dola na bei ya bishaa nyingi mfano ukiwa mafuta na vingine vingi kufuatia so na inflation kupungua zaidi...bot wanafanya hivi kuepuka gharama ya kupata fedha as huwa inakopa pia mabenki
Ect ect
 
kama hiyo ndo itakuwa suluhu na iwe ivyo kuliko kuwatesa wananchi wa hali ya chini
Bot baba yao...kaweka policy mpya so kapunguza uwezo wa mabank kumiliki fedha za kigeni na sheria kali ikiwemo inspection ya kustukiza kila wakati mpaka kwa maduka madogo yanabadirisha fedha za kigeni.. Shilingi imekua ikishuka thamani kwa takribani pointi 10 mpka 20 kila siku kutoka kwa kama wiki mbili mfululizo na leo ndio imevunja rekodi...imeshuka toka 1853 iliyofunga jana mpaka 1650 iliyofunga leo ikiwa ni teremko la zaidi ya asilimia zaidi ya 12%...kuanzia jumatatu tutegemee kushuka zaidi kwa dola na bei ya bishaa nyingi mfano ukiwa mafuta na vingine vingi kufuatia so na inflation kupungua zaidi...bot wanafanya hivi kuepuka gharama ya kupata fedha as huwa inakopa pia mabenki
Ect ect
 
Kama ni hivyo basi kuna tatizo, na kuna watu walifanya makusudi . Kuna mawili either watu walificha dola majumbani ili ziadimike wapandishe bei, au Bank Kuu inajua ilichofanya. Na kama walijua solution kwa nini wameacha watu waumie kiasi hicho!!!!

Gavana wa benki kuu anatakiwa awajibike kwa kutochukua hatua mapema ya kuimalisha shilingi yetu hata pale wananchi wenye ujuzi zaidi yake walipomsihi kuingilia kati kushuka kwa sarafu yetu; maumivu makubwa yamewapata wananchi kwasababu ya imani yake potofu kuwa katika uchumi duni kama wetu THE SHILLING WOULD STABILIZE ON ITS OWN WITHOUT INTERVENTION!! HE HAS BEEN PROVEN WRONG BECAUSE THE SHILLING DROPPED FROM 1875 TO 1600 AFTER INTERVENTION; BUT A LOT OF DAMAGE HAS BEEN DONE
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom