Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MTATIRO ni GOGO la chooni!! Akina maalim na Lipumba wakimaliza haja kubwa watalitupa tu yetu macho na masikio!!Ndugu yangu Mtatiro, umenishangaza zaidi kwa kauli hii "Hapo ndipo itaibuka vita kamili ya dini ya kikristo na kiislamu(Naomba haya yatokee wakati sipo duniani, naomba nisishuhudie ukatili wa Rwanda ndani ya nchi ninayoipenda kama Tanzania)"
Kwa maana yangekuwa ndo maombi ya Nyerere huu ungekuwa ndo wakati wake kutimia? Fikiria wewe ndo uko duniani, kwa maana kumbe wewe unajenga Tanzania ambayo we uko hai tu?
Kama nyinyi ndo viongozi mnaokaa meza KUBWA mna mawazo hayo, huwezi kujiuliza juu ya huyu mtu wa UAMSHO unayemtetea kuwa hana dini anapoelezwa kuwa Zanzibar ni ya Watu wa imani fulani atafanya nini kama si kuteketeza kizazi cha MAKAFIRI?
Waza zaidi juu ya hayo unayoyaita mawazo yako binafsi, yasije yakawa ya woga kwa kuhisi kuwa utakikosa kiti kikubwa unachokalia iwapo utaongea mawazo yako halisi.
Pumba tupu Mtatiro! siasa haikufai kaka rudi kwenye taaluma uliyosomea. Hapo CUF wanakutumia tu kama Muhuri lakini hawakupendi CUF japo mwanzilishi wake alikuwa Mkristu (James Mapalala) wahuni kina Maalim Seif/Lipumba wakampoka chama hata hii ndoa ya CCM na CUF imefanikiwa kwa kuwa Ba Riz(CCM) na Uongozi wa juu wa CUF dini moja wanajadili mambo yao msikitini ambako wewe Mtatiro huwezi kuingia. SHTUKA MTATIRO UNATUMIWA na wewe kwa sababu una njaa unakubali bila kujijua.
Wanaharakati msipate tabu wala msitumie nguvu nyingi kumcrtisize uyu bwana,jambo la msingi atuwekee ushaidi hapa JF wakutosha(credible evidence)kwamba waliosasababisha na kufanya uwalifu huo si UWAMSHO bali ni hao watu anaowasema thn tukiridhika nao ndio tunaweza kujaribu kumuelewa.lakini sio kututungia hadithi za dhahania
Unaonekana ndio uliyewasha moto huo kwa kauli zako pumbavu wee, nyie waislamu hamna akili majuha wakubwa msio na elimu
Huu upuuzi ndio unaudhi bila kipimo eti kiongozi wa kanisa achome kanisa!! hii ni akili ya ndege au panya kabisa kwa wale wenye mawazo kama haya!!
umenena ndugu,
wambie na ao wehu wakibara,
waache ku2ngangania,
2ko tayar 2kose sote,unles mu2achie nchi ye2,
wezi,wahuni,wanyama nyinyi,2peni nchi ye2 mijizi mikubwa
Kweli Nyani haoni KundulE
Unaonekana ndio uliyewasha moto huo kwa kauli zako pumbavu wee, nyie waislamu hamna akili majuha wakubwa msio na elimu