The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,885
Nimemsikia lipumba anasema watanzania walioajiriwa
kwenye sekta ya viwanda ni elfu 62 tu.......
Nimebaki mdomo wazi........
Ndo maana serikali ina nguvu sana.....
Serikali ndo muajiri mkuu wa ajira rasmi tanzania.....
Sasa watanzania milioni 21 wenye uwezo wa kufanya kazi wapo
sekta zipi???????????????
kwenye sekta ya viwanda ni elfu 62 tu.......
Nimebaki mdomo wazi........
Ndo maana serikali ina nguvu sana.....
Serikali ndo muajiri mkuu wa ajira rasmi tanzania.....
Sasa watanzania milioni 21 wenye uwezo wa kufanya kazi wapo
sekta zipi???????????????