Kamisaa
Member
- Jun 18, 2011
- 90
- 16
Nimeurudia kuutazama tena ule mkanda wa "Letter to my Fathers" ili kutafuta nukuu ya alichokisema January Makamba kuhusu "sitting allowance" tarehe 6 Februari, 2011...
"Today we had orientation for new members of parliament at Ubungo Plaza. And eh... we are getting paid, fortunately (laughter). And eh... its called a sitting allowance. I think they should change. We can't be paid... we can't be given an allowance by "sitting". Its embarrassing... to say that you received an allowance by sitting"...
Nukuu ni kutoka dakika ya 0.59 mpaka 1.55...
YouTube - ‪"Letter to My Fathers" - Poem by January Makamba‬‏My take:
Zitto alikaririwa kule Twitter akisema kwamba hoja ya "sitting allowance" ni hoja aliyoianzisha siku za karibuni na January Makamba. Akasema pia kwamba amesikia "sitting allowance" zimefutwa ndani ya vikao vya sekretarieti ya CCM kwa ushawishi wa Makamba Junior. Sasa imekuwaje hii hoja ya posho imeishia kuwa ya kisiasa ya upande mmoja tu wakati hata wana CCM wenye nguvu wanaikubali? Kwanini haikuwa hekima kwa CHADEMA kujenga consensus na wabunge wa CCM ambao nao ni wazi wanakubaliana na kufutwa kwa "sitting allowance"? Badala yake leo hii, hoja ya posho ya sitting allowance imegeuzwa-geuzwa kisiasa kupitia matamko ya CHADEMA na magazetini yanayowaunga mkono kuwa ni hoja ya kupinga posho ZOTE, hata zile za kujikimu! Pinda anapozunguzia kwamba kuna posho ambazo zipo kisheria, anazungumzia zile za kujikimu lakini anashambuliwa hata kwa hilo. Where is honest dialogue? Sasa jamani, mabadiliko ya sera yatakuja vipi kama kila wakati tunataka ku-score political points? Yaani hapa kulikuwa na mwanya hasa wa kuleta mabadiliko ya sera, lakini naona Chadema wameamua kufanya siasa zaidi kuliko uzalendo wa kujenga consensus. Anotehr missed opportunity.
"Today we had orientation for new members of parliament at Ubungo Plaza. And eh... we are getting paid, fortunately (laughter). And eh... its called a sitting allowance. I think they should change. We can't be paid... we can't be given an allowance by "sitting". Its embarrassing... to say that you received an allowance by sitting"...
Nukuu ni kutoka dakika ya 0.59 mpaka 1.55...
YouTube - ‪"Letter to My Fathers" - Poem by January Makamba‬‏My take:
Zitto alikaririwa kule Twitter akisema kwamba hoja ya "sitting allowance" ni hoja aliyoianzisha siku za karibuni na January Makamba. Akasema pia kwamba amesikia "sitting allowance" zimefutwa ndani ya vikao vya sekretarieti ya CCM kwa ushawishi wa Makamba Junior. Sasa imekuwaje hii hoja ya posho imeishia kuwa ya kisiasa ya upande mmoja tu wakati hata wana CCM wenye nguvu wanaikubali? Kwanini haikuwa hekima kwa CHADEMA kujenga consensus na wabunge wa CCM ambao nao ni wazi wanakubaliana na kufutwa kwa "sitting allowance"? Badala yake leo hii, hoja ya posho ya sitting allowance imegeuzwa-geuzwa kisiasa kupitia matamko ya CHADEMA na magazetini yanayowaunga mkono kuwa ni hoja ya kupinga posho ZOTE, hata zile za kujikimu! Pinda anapozunguzia kwamba kuna posho ambazo zipo kisheria, anazungumzia zile za kujikimu lakini anashambuliwa hata kwa hilo. Where is honest dialogue? Sasa jamani, mabadiliko ya sera yatakuja vipi kama kila wakati tunataka ku-score political points? Yaani hapa kulikuwa na mwanya hasa wa kuleta mabadiliko ya sera, lakini naona Chadema wameamua kufanya siasa zaidi kuliko uzalendo wa kujenga consensus. Anotehr missed opportunity.