Alichonukuliwa January Makamba kuhusu "sitting allowance" tarehe 6 Februari, 2011

Kamisaa

Member
Jun 18, 2011
90
16
Nimeurudia kuutazama tena ule mkanda wa "Letter to my Fathers" ili kutafuta nukuu ya alichokisema January Makamba kuhusu "sitting allowance" tarehe 6 Februari, 2011...

"Today we had orientation for new members of parliament at Ubungo Plaza. And eh... we are getting paid, fortunately (laughter). And eh... its called a sitting allowance. I think they should change. We can't be paid... we can't be given an allowance by "sitting". Its embarrassing... to say that you received an allowance by sitting"...

Nukuu ni kutoka dakika ya 0.59 mpaka 1.55...

YouTube - ‪"Letter to My Fathers" - Poem by January Makamba‬‏My take:

Zitto alikaririwa kule Twitter akisema kwamba hoja ya "sitting allowance" ni hoja aliyoianzisha siku za karibuni na January Makamba. Akasema pia kwamba amesikia "sitting allowance" zimefutwa ndani ya vikao vya sekretarieti ya CCM kwa ushawishi wa Makamba Junior. Sasa imekuwaje hii hoja ya posho imeishia kuwa ya kisiasa ya upande mmoja tu wakati hata wana CCM wenye nguvu wanaikubali? Kwanini haikuwa hekima kwa CHADEMA kujenga consensus na wabunge wa CCM ambao nao ni wazi wanakubaliana na kufutwa kwa "sitting allowance"? Badala yake leo hii, hoja ya posho ya sitting allowance imegeuzwa-geuzwa kisiasa kupitia matamko ya CHADEMA na magazetini yanayowaunga mkono kuwa ni hoja ya kupinga posho ZOTE, hata zile za kujikimu! Pinda anapozunguzia kwamba kuna posho ambazo zipo kisheria, anazungumzia zile za kujikimu lakini anashambuliwa hata kwa hilo. Where is honest dialogue? Sasa jamani, mabadiliko ya sera yatakuja vipi kama kila wakati tunataka ku-score political points? Yaani hapa kulikuwa na mwanya hasa wa kuleta mabadiliko ya sera, lakini naona Chadema wameamua kufanya siasa zaidi kuliko uzalendo wa kujenga consensus. Anotehr missed opportunity.
 
Yah niliwaona vizuri kule twitter wakijadiliana,january alikili kuwa kwenye vikao secretary ya ccm alishinikiza ziondolewe!
 
Yah niliwaona vizuri kule twitter wakijadiliana,january alikili kuwa kwenye vikao secretary ya ccm alishinikiza ziondolewe!
Sijua kama walizungumzia au mleta mada hii anajua kuwa kupunguza posho hizo achadema imo kwenye ilani ya uchaguzi iliyoandikwa kabla Januari kukaa kwenye orientation meeting na kulamba hizo posho, kisha kuandika shairi na kujirekodi akiliimba. Tujiulize mbona hakutoa public kuzipinga hadi chadema waweke kwenye bajeti yao. Sijua pia kama huo mjadala wa twiter ulikumbushia kuwa Dk. Slaa (sio zitto anayeimbwa sasa) alilishupalia akiwa bado mbunge wakati akipinga ukubwa wa malipo ya wabunge? Mmesahau kuwa alibanwa kuwa anatoa siri za bunge akasema yeye anataja mshahara wake ambao haukuwa siri za bunge? Natumia mobile siwezi kuweka link. Nikipata fursa nitarejea kupitia PC
 
Nani asiyefahamu kuwa CCm na serikali yake ni wazuri sana ktoa matamko bila ya vitendo. Tazama suala la ununuzi wa magari ya serikali ni kwanini hadi sasa mabilioni ya walipa kodi yanaendelea kuteketea? Mdio maana Chadema wameamua kuchukua hatua kuondoa suala hili kwa vitendo,
 
Jamani tuwe wa kweli: Angalia Ilani ya Chadema ya Uchaguzi:

CHADEMA Itapunguza mishahara na posho za viongozi wote wa juu wa kisiasa kuanzia Rais, hadi wakuu wa mikoa kwa asilimia 20. Mishahara na posho za wabunge zitapunguzwa kwa asilimia 15 huku mishara na posho ya watendaji wote na wakuu wa mashirika na taasisi za umma itapunguzwa kwa asilimia 15.

NI Chadema iliyoweka suala hili kwenye ilani yake. Wanaposimama kuanza kulitetea hawajadandia hoja za CCM. Sera ya CCM kwenye uchaguzi mkuu ilisemwa hivi kwenye Ilani kuhusiana mpango wa kuboresha sekta ya sheria na mahakama.

Kuboresha posho za Wazee wa Mahakama na kuhakikisha kwamba zinatolewa kwa wazee wote kwa wakati unaotakiwa.

Somebody need to help me.. kati ya vyama hivi viwili ni kipi kiliahidi sera ya kupunguza posho na kubana matumizi kwa kugusa mishahara na posho za viongozi wetu?
 
Nimeurudia kuutazama tena ule mkanda wa "Letter to my Fathers" ili kutafuta nukuu ya alichokisema January Makamba kuhusu "sitting allowance" tarehe 6 Februari, 2011...

"Today we had orientation for new members of parliament at Ubungo Plaza. And eh... we are getting paid, fortunately (laughter). And eh... its called a sitting allowance. I think they should change. We can't be paid... we can't be given an allowance by "sitting". Its embarrassing... to say that you received an allowance by sitting"...

Nukuu ni kutoka dakika ya 0.59 mpaka 1.55...

YouTube - ‪"Letter to My Fathers" - Poem by January Makamba‬‏My take:

Zitto alikaririwa kule Twitter akisema kwamba hoja ya "sitting allowance" ni hoja aliyoianzisha siku za karibuni na January Makamba. Akasema pia kwamba amesikia "sitting allowance" zimefutwa ndani ya vikao vya sekretarieti ya CCM kwa ushawishi wa Makamba Junior. Sasa imekuwaje hii hoja ya posho imeishia kuwa ya kisiasa ya upande mmoja tu wakati hata wana CCM wenye nguvu wanaikubali? Kwanini haikuwa hekima kwa CHADEMA kujenga consensus na wabunge wa CCM ambao nao ni wazi wanakubaliana na kufutwa kwa "sitting allowance"? Badala yake leo hii, hoja ya posho ya sitting allowance imegeuzwa-geuzwa kisiasa kupitia matamko ya CHADEMA na magazetini yanayowaunga mkono kuwa ni hoja ya kupinga posho ZOTE, hata zile za kujikimu! Pinda anapozunguzia kwamba kuna posho ambazo zipo kisheria, anazungumzia zile za kujikimu lakini anashambuliwa hata kwa hilo. Where is honest dialogue? Sasa jamani, mabadiliko ya sera yatakuja vipi kama kila wakati tunataka ku-score political points? Yaani hapa kulikuwa na mwanya hasa wa kuleta mabadiliko ya sera, lakini naona Chadema wameamua kufanya siasa zaidi kuliko uzalendo wa kujenga consensus. Anotehr missed opportunity.

Acha Kuspin Pinda Tumemsikia Bana Acha Kumtia Maneno Mdomoni
 
Nimeurudia kuutazama tena ule mkanda wa "Letter to my Fathers" ili kutafuta nukuu ya alichokisema January Makamba kuhusu "sitting allowance" tarehe 6 Februari, 2011...

"Today we had orientation for new members of parliament at Ubungo Plaza. And eh... we are getting paid, fortunately (laughter). And eh... its called a sitting allowance. I think they should change. We can't be paid... we can't be given an allowance by "sitting". Its embarrassing... to say that you received an allowance by sitting"...

Nukuu ni kutoka dakika ya 0.59 mpaka 1.55...

YouTube - ‪"Letter to My Fathers" - Poem by January Makamba‬‏My take:

Zitto alikaririwa kule Twitter akisema kwamba hoja ya "sitting allowance" ni hoja aliyoianzisha siku za karibuni na January Makamba. Akasema pia kwamba amesikia "sitting allowance" zimefutwa ndani ya vikao vya sekretarieti ya CCM kwa ushawishi wa Makamba Junior. Sasa imekuwaje hii hoja ya posho imeishia kuwa ya kisiasa ya upande mmoja tu wakati hata wana CCM wenye nguvu wanaikubali? Kwanini haikuwa hekima kwa CHADEMA kujenga consensus na wabunge wa CCM ambao nao ni wazi wanakubaliana na kufutwa kwa "sitting allowance"? Badala yake leo hii, hoja ya posho ya sitting allowance imegeuzwa-geuzwa kisiasa kupitia matamko ya CHADEMA na magazetini yanayowaunga mkono kuwa ni hoja ya kupinga posho ZOTE, hata zile za kujikimu! Pinda anapozunguzia kwamba kuna posho ambazo zipo kisheria, anazungumzia zile za kujikimu lakini anashambuliwa hata kwa hilo. Where is honest dialogue? Sasa jamani, mabadiliko ya sera yatakuja vipi kama kila wakati tunataka ku-score political points? Yaani hapa kulikuwa na mwanya hasa wa kuleta mabadiliko ya sera, lakini naona Chadema wameamua kufanya siasa zaidi kuliko uzalendo wa kujenga consensus. Anotehr missed opportunity.
Mkuu kwanza unapashwa kuelewa ya kua CCM wameondoa allowance hizo kutokana na matatizo makubwa ya kiuchumi yanayokikabili chama hicho Tawala CCM,hawakufanya hivyo kwa kupenda.Kama kweli wamefanya hivyo kwa kupenda na kwa uchungu wa ubadhirifu wa fedha za Umma ni kwa mantiki gani wanapinga kufutwa kwa posho za wabunge!HAINIINGII AKILINI NI USANII USIO NA MANTIKIO(igizo la chekechea katika jukwaa la chuo kikuu)MUNGU IBARIKI TANZANIA.
 
Mwanakijiji,

Okay, I will give it to you kwamba CHADEMA waliweka suala la kupunguza posho kwenye Ilani yao. That is well and good. Lakini hii haimaanishi kwamba hakuna watu ndani ya CCM ambao nao wanakubaliana na kufutwa kwa posho zisizo na lazima! Kujaribu kudai kwamba Serikali na wana CCM wote wanapenda sitting allowance ni upotoshaji pia (exhibit A ni Makamba junior), na isitoshe hata wabunge ndani ya Chadema wengine hawataki posho zifutwe (soma TheCitizen la leo). So what gives?

Cha msingi hapa ni hichi... je CDM wanajaribu kutekeleza hii sera yao au wanataka umaarufu tu wa kung'ang'ania kwamba sera ni mali yao na sio ya wengine? Hii approach waliyochukua je italeta tija katika kubadilisha sera, au ni approach ya kujenga umaarufu tu? Narudia tena - huu ungekuwa ni wakati muafaka kwa Chadema kujenga concensus na coalitions ili kuwezesha mabadiliko katika posho, sio kupiga malumbano tu ili waandikwe magazetini. Wakati wa kukosoa tu CCM umepita, wananchi wanategemea results from CDM.
 
Kamisaa kama kulikuwa japo na mti mmoja ndani ya ccm ni nani? Alisema wazo hilo kwenye kampeni gani? Kuwa na wazo tu haina maana yoyote kama hujatoa wazo hilo kama maoini. Mawazo hayahesabiwi.

La pili ni kuwa siasa ni umaarufu; hakuna mwanasiasa asiyetaka umaarufu. Bahati mbaya CCM wameshapoteza umaarufu wao na wanazidi kupoteza na kutokana na hilo wanalalamikia umaarufu wa wenzao. Well.. wakifanya yanayoleta umaarufu watapewa umaarufu. Lakini umaarufu hauji kwa kulalamikia umaarufu wa wengine! Kumbuka siasa ni umaarufu.
 
..posho imeondolewa kwenye vikao vya CCM kama suala la mpito tu.

..hiki ni kipindi cha mpito wakati makundi ya kifisadi yakipokezana jukumu la kuifadhili CCM.
 
Nimeurudia kuutazama tena ule mkanda wa "Letter to my Fathers" ili kutafuta nukuu ya alichokisema January Makamba kuhusu "sitting allowance" tarehe 6 Februari, 2011...

"Today we had orientation for new members of parliament at Ubungo Plaza. And eh... we are getting paid, fortunately (laughter). And eh... its called a sitting allowance. I think they should change. We can't be paid... we can't be given an allowance by "sitting". Its embarrassing... to say that you received an allowance by sitting"...

Nukuu ni kutoka dakika ya 0.59 mpaka 1.55...

YouTube - ‪"Letter to My Fathers" - Poem by January Makamba‬‏My take:

Zitto alikaririwa kule Twitter akisema kwamba hoja ya "sitting allowance" ni hoja aliyoianzisha siku za karibuni na January Makamba. Akasema pia kwamba amesikia "sitting allowance" zimefutwa ndani ya vikao vya sekretarieti ya CCM kwa ushawishi wa Makamba Junior. Sasa imekuwaje hii hoja ya posho imeishia kuwa ya kisiasa ya upande mmoja tu wakati hata wana CCM wenye nguvu wanaikubali? Kwanini haikuwa hekima kwa CHADEMA kujenga consensus na wabunge wa CCM ambao nao ni wazi wanakubaliana na kufutwa kwa "sitting allowance"? Badala yake leo hii, hoja ya posho ya sitting allowance imegeuzwa-geuzwa kisiasa kupitia matamko ya CHADEMA na magazetini yanayowaunga mkono kuwa ni hoja ya kupinga posho ZOTE, hata zile za kujikimu! Pinda anapozunguzia kwamba kuna posho ambazo zipo kisheria, anazungumzia zile za kujikimu lakini anashambuliwa hata kwa hilo. Where is honest dialogue? Sasa jamani, mabadiliko ya sera yatakuja vipi kama kila wakati tunataka ku-score political points? Yaani hapa kulikuwa na mwanya hasa wa kuleta mabadiliko ya sera, lakini naona Chadema wameamua kufanya siasa zaidi kuliko uzalendo wa kujenga consensus. Anotehr missed opportunity.

Join Date : 18th June 2011
Posts : 11
Thanks 0Thanked 2 Times in 1 Post

Rep Power : 0

Another crap
 
Kamisaa kama kulikuwa japo na mti mmoja ndani ya ccm ni nani? Alisema wazo hilo kwenye kampeni gani? Kuwa na wazo tu haina maana yoyote kama hujatoa wazo hilo kama maoini. Mawazo hayahesabiwi.

La pili ni kuwa siasa ni umaarufu; hakuna mwanasiasa asiyetaka umaarufu. Bahati mbaya CCM wameshapoteza umaarufu wao na wanazidi kupoteza na kutokana na hilo wanalalamikia umaarufu wa wenzao. Well.. wakifanya yanayoleta umaarufu watapewa umaarufu. Lakini umaarufu hauji kwa kulalamikia umaarufu wa wengine! Kumbuka siasa ni umaarufu.

Siasa sio umaarufu kaka! Na umaarufu sio kipimo cha uongozi jasiri au uzalendo either! Lengo la siasa ni kukamata dola ili kustawisha maisha ya wananchi, sio kujilimbikia umaarufu. Hii falsafa ya viongozi wa upinzani itatumaliza, mark my words!
 
Siasa sio umaarufu kaka! Na umaarufu sio kipimo cha uongozi jasiri au uzalendo either! Lengo la siasa ni kukamata dola ili kustawisha maisha ya wananchi, sio kujilimbikia umaarufu. Hii falsafa ya viongozi wa upinzani itatumaliza, mark my words!

Siasa Ni Umaarufu na Ndio Maana CCM waiteua Mgombea Maarufu wa Urais. Tofauti aliyokuwa nayo JK na Salim au Mwandosya ni UMAARUFU hata Makamba Senior alisema hili
 
Siasa sio umaarufu kaka! Na umaarufu sio kipimo cha uongozi jasiri au uzalendo either! Lengo la siasa ni kukamata dola ili kustawisha maisha ya wananchi, sio kujilimbikia umaarufu. Hii falsafa ya viongozi wa upinzani itatumaliza, mark my words!

Sasa Kamisaa sijui kama unajua maana ya neno maarufu. Ni kupendwa au kukubalika. Sasa usipokubalika/kupendwa utakamataje dola? Hii falfasafa ya CCM kupoteza umaarufu na kushindwa uchaguzi wa kidemokrasia kisha ikachachua matokeo halali itatuletea balaa huko mbeleni.
 
Siasa sio umaarufu kaka! Na umaarufu sio kipimo cha uongozi jasiri au uzalendo either! Lengo la siasa ni kukamata dola ili kustawisha maisha ya wananchi, sio kujilimbikia umaarufu. Hii falsafa ya viongozi wa upinzani itatumaliza, mark my words!

Sasa Kamisaa sijui kama unajua maana ya neno maarufu. Ni kupendwa au kukubalika. Sasa usipokubalika/kupendwa utakamataje dola? Hii falfasafa ya CCM kupoteza umaarufu na kushindwa uchaguzi wa kidemokrasia kisha ikachachua matokeo halali itatuletea balaa huko mbeleni.
 
Siasa sio umaarufu kaka! Na umaarufu sio kipimo cha uongozi jasiri au uzalendo either! Lengo la siasa ni kukamata dola ili kustawisha maisha ya wananchi, sio kujilimbikia umaarufu. Hii falsafa ya viongozi wa upinzani itatumaliza, mark my words!
Mkuu, tafuta kamusi ya kiswahili angalia maana ya neno umaarufu. huwezi kuchaguliwa bila kuwa maarufu and so politics is about popularity ndugu yangu. lazima watu wakufahamu na ndiyo wakuchague.
 
Sasa Kamisaa sijui kama unajua maana ya neno maarufu. Ni kupendwa au kukubalika. Sasa usipokubalika/kupendwa utakamataje dola? Hii falfasafa ya CCM kupoteza umaarufu na kushindwa uchaguzi wa kidemokrasia kisha ikachachua matokeo halali itatuletea balaa huko mbeleni.
Toa kinyesi chako hapa. acha kuandika utumbo njoo na data. vyama vya upinzani viligawana na ccm kura kwenye kanda husika na chama husika. ccm won election. Period.
 
Toa kinyesi chako hapa. acha kuandika utumbo njoo na data. vyama vya upinzani viligawana na ccm kura kwenye kanda husika na chama husika. ccm won election. Period.
Na wewe usiite maoni ya mwenzako kuwa ni kinyesi. Kama CCM walishinda 60% mbona wanahaha na kujivua magamba? 60% should be very comfortable, no? But look at the way they are acting. They are panicking!
 
Back
Top Bottom