He's great in what he does (i mean fashion), Gay o not lets let him be.. I think there are better things to do than trying to mingle in someone's life b'cause of their outlook!
mwenzio haelelwi maana ya womanizer, anadhani ukipenda kukaa karibu na wanawake u ar a womanizer!
i lv high skul,makes me feel like a kid,cant complain,lol!
saq, tuache kuwa-hate mafisadi wanauza nchi na kutuweka kwenye hali ngumu, tuanze kum-hate mtu anayeishi maisha yake, na kufanya ubunifu wa kuwapatia watz wachache mkate wao wa kila siku! get a life,kiddo.it will do u good..
Na wewe acha kuhangaika do you hate him/like him...ungekua wa maana sana kama ungeuliza iwapo watu wanapenda deaign zake au la kwasababu hiyo ndio kazi yake.
Its not like he is forcing them.They are all adults..and if the girls wants to run around naked there is nothing him or you can do to stop it.So lay off the bwoi and let him be!!
he is cool, talented, hardworking fellah...u should understand that he is fashion designer. Is it wrong for designer to use models to showcase his work??? Unless i ddnt undstnd ur concern!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.