Ali Mbarouk Mshimba mgombea wa CHADEMA Jimbo la Uzini Zanzibar

Mkuu FF,
Nakubaliana na point yako kiasi,Lakini kwa sehemu kama Zanzibar,Vyama vya siasa bado vina sauti kubwa,Kuna sehemu kule pemba CUF inaweza kusimamisha jiwe na likashinda.Ishu ya kuwa na candidate mwenye mvuto ni ya muhimu sana especially kwa CDM ambayo inahitaji kuingia Zanzibar (Ku penetrate),hivyo suala la vigezo ni very key.

Sa unafikiri hao wanaofanya hivyo ni waenda wazimu? wana sababu za kufanya hivyo na kwa sababu hizo hizo na nyenginezo CHADEMA haiwezi kuwa mbadala kule Zanzibar.


Hebu naomba sera na Dira ya CHADEMA kuhusu Zanzibar kwa ujumla!
 
mtu unatoa mada ili usifiwe ama maana chadema zanzibar ni m2 wa 3 unaposema atashindana unachekesha labda atashindana mbio hahah
 
Si unaona?! Sisi tuwanyonge yakhe, tena huwo ubabe mtakaotuletea kwetu tutauwezaje yakhe? Si mwajuwa sisi ni midebwedo? Leo mwataka debwedeko nasi na hiyo miguvu yenu? Hatuwawezi yakhe!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

wale wale, chuki, hiyana na majungu. Huna hoja, yakhe yakhe kitu gani?
 
Faiza uko sahihi Kabisa! Hili jina limekuwa likiring akilini mwangu tangu nilipolisikia kumbe huyu Bwana namuelewa sana sana kwani ni mchezo mmoja, shule moja (Wana CHADEMA humu huita Madrasa) na nahisi pengine nae anataka kujitowa kimaisha tu. Sioni kama ni mwanasiasa hasa na nikimuangalia na yule wa Magamba nahisi labda watu wa uzini wawe na kisasi na CCM ndio CDM washinde. Hata hivyo kama CUF walikuwa wakishindwa kila siku jimboni humo sifikiri kuwa watu wake wana kisasi hivyo na CCM kiasi cha CDM kushinda!

Tupe wasifu wake. Kuanzia kiwango cha elimu na kukubalika kwake pia ikiwezekana
 
ukirejea hali ilivyokuwa jimbo la Igunga kabla na baada ya uchaguzi mambo madogo kama haya hautasumbuka kuyachanganua.

we unafikiri hiyo igunga unajipa matumaini. Naukisema igunga tayari cdm mmejihakishia mmeshindwa. Mnalinganisha hali hiyo na igunga. Kura mia au mpaka miambili mnaweza bahatisha
 
Chadema wakichukuwa hilo jimbo naihama rasmi CCM. Hii challenge niliitowa hata Igunga.

Sasa hiyo ahadi unamtolea nani? si umpelekee mume wako,kwani sisi tunahitaji ahadi zako za kijinga hapa? k_ _ _e we!!
 
Wewe Ms kumbe hata majina ya Wapemba wenzio hauyajui. Jina lake ni Mshimba na Siyo MUSHIMBA! Nakumbuka kufundishwa Maths pale mlimani na Professor fulani Mlimani aliyekuwa akiitwa Mshimba alikuwa faculty ya Science. Hata hivyo bado naamini jina lake siyo tatizo hata likiwa linafanana na majina ya bara maana watanzania wengi ni wabantu.

Ni kweli mkuu, prof. Mshimba kwa sasa yuko Zanzibar SUZA kama VC alikuwa promoted toka UDSM alikuwa mtaalam wa hesabu ndio fani yake.
 
Chadema si chama cha Kitaifa kwani kina uwakilishi upande mmoja wa jamhuri ya Muungano;hata ipite miaka ishirini hakiwezi kupata mwakilishi Zanzibar.Ni Cuf na CCm zenye uwezo wa kupata wabunge na Wawakilishi pande zote mbili za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
 
Chadema sio chama cha Kitaifa hawawezi kushinda Zanzibar,Vyama vya kitaifa vinajulikana ni CCM NA CUF kwani vina Wabunge na Wawakilishi pande zote mbili TZ Zanzibar na TZ Bara.
 
Back
Top Bottom