Ali Kiba, The Greatest Faker Of All Times! Youth Take Notes How To Win Big In Life! (The Review)

Kiba akili zake za kushikiwa na mashabiki wa vigodoro hana jipya hata achome udi tani 1000 hawezi mfikia chibu hata robo.....

Kwenye AJE kampotezaaa (It could be permanent or temporary. We will see)
 
Sitegemei diamond kushuka kimziki hivi karibuni,mshindani wake hasa bado hajapatikana labda yeye mwenyewe aamua kuacha mziki

Dai anashuka kwa kasi. ILE PEAK YA NUMBER 1 HAIJAFIKA. Anajamba jamba tu soon mashuzi yatamuishia.
 
Sikutegemea kama ningeweza kusoma makorokocho yote hayo mareeeeefu nikamaliza,

uko vizuri umepangilia na facts kibao......washindwe wao tu vinginevyo wataishia kuwa kama nyigu tu, kata mauno sanaaa.....asali nehii!!

thanks Lara, I was his fan since sindelera ila alipoanza bif na Dai. ..ndipo nilipoanza kumfaham Dai na kumkubali na sitegemei kuhama...hiyo aje nasikilizaga kwa shingo upande....
 
Hivi kwann alikiba anapambanishwa n diamond. Watu wenye level 2 tofaut. Alikiba saiv level yake ni nuhu mziwanda. Huo wimbo wa "aje" jmn unapigwa promo lkn hamna ki2. Yan ni bureee kabisa. Kwel m2 ukimpenda sn anapokosea huon ata akinya unaweza sema ni cake
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.... Aje ni wimbo Mzuri.... Ka relax sana... melody, vocals, rhythms zipo vizuri sana. Acha ushabiki sikiliza vizuri
 
Lupela is best Song , lyrics zipo fresh. Tatizo beat Lake vinanda vingi sana Kama ngoma ya wasukuma.
 
Diamond platnumz sasa hivi ni zamu yake na atakaye mfunika mondi ni msanii mwengine kabisa hata hatutomzania, si kiba kwani kiba zamu yake imepita na alishindwa kutumia chance zake akazini mziki unamsubiri yy. Gem ni zam zam, zam r-kelly zamu yake iliisha, akaja usher zam yake nayo imeisha, ikaja zam ya criss brown nae criss naona anaanza kuelekea ukingoni. Sasa hv jeremiah au August alsina wanaanza kumfunika criss polepole. Huu ndio mziki ukapata nafasi inabidi utumie haswa.
 
Wanaomchukia DIAMOND PLATNUMZ katika bongo flava ni sawa na waoamchukia Christian Ronaldo au Messi kwenye football, utaumiza roho yako bure!
 
Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Kama kawaida KUBWA LA MAADUI nitachambua kauli yangu kwa kina. Well researched, well written, full detailed. Throw Back Time Za Kutosha Dimond kutajwa sanaa, makubwaaa leo Dai kutajwa kwa kusifiwa. Hahahaaa .SAA 4 KAMILI USIKU HUU. Nasisitiza tu SINA TEAM, NI MMBEA WA KUJITEGEMEA. (Ali the Lulu girl has started singing abt you and word is she under 18! Im stalking her page)

On the mean time
Natoa pongezi zangu za dhati hata mkizichukulia za kinafiki poaaaa tu, kwa huu wimbo wa AJE aiseee ni hatriiii tupu. Teach e swahili, Sawa sawa mambo vipi, Aje! Such a shame sijamuona Wema kwenye video. All in all the song is a hit and nimekubaliii hadharani sio kimya kimya kama vipi niweke kwa MI si hajaoa yule. Mjini hapa.

BACK TO TOPIC!

Ali historia yake ya muziki si ndefu sanaa na inajulikana, na naweza kusema Ali anaimba namuonaaa. Na hit single yake ilikuwa CINDERELLA ndo ilimtambulisha Ally kabla ya hapo alifanya nyimbo kadhaa ikiwemo ile aliyoshirkishwa na Queen Darleen ilitambaga kimtindo enzi hizo.

Baada ya kutoa Cinderella sasa ndo akawa kafahamika ila still soko lilikuwa gumu sanaa nakumbuka lilikuwa na wakora kina Dully Sykes, Mr.2, Mr. Blue, Jide, East coast team, na wababe wengine wa enzi hizo. So pamoja na single ya Cinderella kufanya vizuri nakumbuka ilishika namba moja wiki kama 5 kwenye Bamiza Chat ya Magic Fm, na Ile ya Clouds na Redio 1 watu tukawa bado hatujamuelewa huyu nani kama design tuna shangaa.

Akaachia nyingine double double kama Nakshi nakshi, Mac Muga, akawa on top sasa. Ally akakaa level za Chid Benz. Mda huo Dai bado hajatoka wala nini anapiga story kwa Sharobaro Records kumlamba lamba bob junior amfanyie single ya bure. Basi Ally akawa Ally haswaaa. Na ile albam ilifanya vizuri sanaa manake nyimbo nyingi zilikuwa hit songs.

Ally akaanza kufilisika kabisaaa baada ya kuanza kuimba Takeu Style hizi uswazii tunaziita Big G ile ya Usinichekee hata kama napenda kula. Kipindi hiki ndo Dimond akawa kapata bahati kidogo kuachia ile Kamwambie. Haikueleweka kihivooo ila ikakubalika kimtindo hata kwenye vigorodo inapigwaaa.

Mungu si athumani, Dimond akaachia MBAGARA dooooh! Ndo ikawa balaa sasa ndo kujulikana sasa. Ndo akaanza kutoka na Wema Sepetu sasa enzi hizo Wema anataka kuolewa na Chalz Baba kashavishwa pete, kaenda Marekani anangojewa akirudi ndoa. Chalz Baba anajisifu hapo.

Hapo hapo kati Ali kabla haja hit sana ndo katoa tu Cinderella alikuwa analelewa na Wolper kipindi hio, tabia ya kupenda vivulana kaanza longi sanaa. Wolper alikuwa na saluni Ilala. Ally akahojiwa aaksema huyo jimama si jimama kihivo ni kadada kabla hata Wolper hajacheza movie na kufananishwa na Uwoya, maana zamani walimjua kama pacha wa Uwoya.

Dimond alivotoa tu kamwambie sikumbuki kabla au baada ya Mbagara akawa nae anaelelwa na Wolper. Huku na huku Wema kamchukua Dai, Wolper akawa na Raisi wa Ununio Dallas alias Abdallah akamchumbia amuoe na kumpa BMW. Hatukunywa maji yakashuka. Kabla hajampata Dallas kukawa na beef kubwa sanaa kati ya Wema aliungana na Uwoya Vs Wolper wakamchana sana Wolper kipindi cha Zamaradi hawasemi vitu vikaeleweka, wanazunguka mbuyu tu. Mbingu zika rule infavour of Wolper alivopata ile BMW X6 na kubadili jina kuwa Ilham Wolper na alitikisa mji balaa, Wema akashuka shuuu. Kimyaaa.

By the time Dai ana peak Ali akawa kapoteaaaa, na za uswazi zinadai alikuwa analelewa na bibi kijana shoga ake Zali. Wakawa kama mke na mume. Haimbi hafanyi chochote anakula na kulala. Msione urafiki wa Bibi Bongo star na Zali mkauangalia juu na unexpected undying support kwa Dai hio yote kumkomesha X wake Ali. Na msione Jokatem yupo best na Wema after lile biff lao zito juu ya Dai ni sababu ya Ali. Yaani hawa watu mambo yao ni complex sanaa.

Dimond i respect this guy apart from Talent na Hardwork, THE GUY HAS VISION AND BALLS TO MAKE IT HAPPEN. HE IS ALWAYS ONE STEP AHEAD. ANACHOKIWAZA DAI LEO WENGINE WATAKIWAZA MIAKA 3 IJAYO. AKISHAFANYA NDO ANAKUWA KAWAONESHA NJIA. (Leo namsifia huyu mmanyema nitaota usiku)

Ally kajipumzisha kwa bibi Bongo Star Search, Dai ana hustle kuwa tofauti, kuleta kitu tofauti, kwenda hatua kumi mbelee. For a guy who has never been to school that much he earned my respect. Pale hii Bongo Fleva walipoifikisha kina Mwana Fa, Professa J, Afande Sele, Dubu Baya, Mr. Nice. Jide Comandoo, GK na East Cost crew, Sir. Nature, Wanaume TMK, wagosi wa kaya, Jay Mo na pioneer wote akiwemo hayati Complex, Drob, Steve 2k, na waliokimbilia uarabuni kina Solo Thang, Balozi, etc. Dimond AILENDA HATUA 100 MBELE NA KULETA REVOLUTION YA KIMZIKI.

Hakuwa wa kwanza kwenda nje cause Jide ashafanya collabo na wasanii wengi tu sema hakuwa na nyota ya Dimond. Ila Dimond na ule wimbo wa MY NUMBER 1 japo aliuiba kwa Dyna Nyange ila alifanya kitu kikubwa sanaa kumshirikisha Davido na ndo mapinduzi yenywe hayo liongojwa na wote hao ambao wengi hawakufanikiwa kuyafikia. Ally kalala tu mda wote huo.

Dimond hakulala akaanza kushirikisha Wanaijeria wengine maana Remix ile na Davido ili hit sanaaa, na kumfungulia milango. (KITU ANACHOKIFANYA ALI KIBA JIONI HII, LEO HII AMBACHO DAI ALIFANYA LIKE 3 OR 4 YEARS AGO.) Tukaanza kumchoka sasa na wanaijeria ake. BINAFSI I THOUGHT DIMOND PALE KWA DAVIDO KAFIKIA CLIMAX YA FEROUZ NA STAREHE ALICHOBAKIZA NI KUGROW AT A DIMINISHING RETURN NA KUFA KIFO CHA MENDE.

Hapa sasa Ali akafumaniwa Lamada na bibi na kupewa kibuti ndo kurudi studio. Hapa ndo inakuja point yangu ya ALLY IS A FAKER. By the time Ally anarudi studio akatoa nyimbo na mdogo wake zikajamba zote. Akaanza kuji HYPE kuwa ni COMPETITOR WA DIMOND?????????????!!!!!!!!!1 COME ON ALI MZEE MWENZETU UKAJIPAMBANISHA NA DOGO D KWELI? Umefanya nyimbo Dai yuko shule kweliiii? True competitor kidogo alikuwa Rich Mavoko, sababu walianza muziki sawa. Ni sawa leo hii Matonya aseme yeye competitor wa Harmonise. Khaaaaaaa!

Ali is a faker aliona GAP pale watu tumemchoka Dai, tumemchoka kweli kweli akiweka Dai na Ngombe tungemchagua Ngombe basi tu na u team team ndo ukawa unanoga. Akazua biff la kibiashara na Dai halielezeki. Mara AJiite King Kiba kumchokonoa tu mtoto wa watu kama marehemu Kanumba na Ray. Late Kanumba was the TALENT ila Ray is a FAKER ila a good one. Ndo maana tangia marehemu atangulie mble za haki Ray kapoteza direction. WHY? Alisafiria nyota ya mwenzie. Anangoja mwenzie afanye, yeye a Copy. Na Kanumba anaaza sanaa Ray was already a star.

Ali akakubalika na teams, binafsi nimemsapoti sana Ali bila sababu za msingi kiubinafsi tu sababu Dai alinichosha na mambo yake. Kimbembe kikawa anabebwa ila hana HIT SINGLE YA COME BACK. Dai mnanyema wa watu hana majungu anapiga kazi tu, riziki yake iko kwa Mungu. Ally kujamba jamba studio akatoa Mwana. Honestly the song was WHACK ila sababu ya HYPE na MARKETING na visasi ikachukua tuzo za kutosha za ndani ila nje ilikuwa MASSIVE FAILURE sababu the song was WHACK, MELODY WHACK, LYRICS WHACK, ATLEAST THE BEAT. Moyoni tuna doubt huyu ndie kweli kaja kutunyooshea Dai au tungoje mwingine.

Ali akatoa Cheketua which was also WHACK design ile ile ya TAKEU. Wakati Dai nae alishaimba TAKEU ile mdogo mdogo sijui sababu mzaramo upande wa mama ilinogaaa hatariii. Hata Nana was a good song NOT AS GOOD AS NUMBER 1 BUT GOOD. BASI DAI NDO KUWA MNIGERI WA 2. TUKAWA TUMEMCHOOOKA NA HAO WANIGERIA BALAA. BINAFSI ALINIFIKA KOONI. Nikajua tu Musically Dai anadondoka a natural death, hata aimbe na Fally Ipupa au sijui nai wa Nigeria huko.

Heeeeee si ndo kaibukia SOUTH. Ule wa AK mzuri ila kingreza kingi labla kwa international market. Huu wa Mafikizolo nao badooo. Unachezeka vizuri klabu ila hauna edge inayo stick kichani mwa msikilizaji, na lyrics are WHACK. Honestly Dai kuufunika Number 1 ajipange upyaaaa, na atulize kichwa. Mi naamini kama aliweza once ataweza tena. Ali akatoa Lupela the song was different ila ulikuwa mzuri

Kimbembe ndo hili dude la AJE!!!!!!!! Bwana weeeeeeeee! Hadi uswazi tuko sawsaw mambo vipi! Jamaniii! Kitu kikali. ALLY HAS FAKED IT UNTIL HE HAS MADE IT. NOW THIS IS HIS COME BACK. Sitegemei kama atarudi nyuma ila kama kurudi tu karudi.

Dimond binafsi moyoni kunikuta nakiri hadharani kama hivi ni nadra sanaa I STILL HAVE FAITH IN YOU. Najua and i comftably rely on you kwamba you have big plans and before your natural music death you will move us to another music era. South kumegoma na kujamba, still you can sing many thing kama uliimba mchiriku ukaweza, chonde chonde kabla hujastaafu tuimbie SINGELI moja matata sanaaa. Inshallah kabla hujastaafu fanya wimbo moja na KOFFI ANTWAR OLOMIDE itabamba sanaa, fanya nyimbo moja na JOSE CHAMILLION kwa Africa. I KNOW IF THERE IS ANY TANZANIA TO UNLOCK THE US AND EUROPE MUSIC MARKET WITH TZ IT IS YOU. Japo Kiba ndo ana mihela na manager mkali yule Seven Mosha (Wadada oyee, utu mwamke) still YOU A NATURAL WENGINE NI FAKERS MPAKA WAONE KWAKO NDO WAJIPANGE KUFANYA ZAID YAKO. Kwa Sauti yako Chriss is a bad choice kama alivofanya Ali na R Kelly. LOOKING FOWARD TO YOUR BRIGHTER FUTURE. Nini Sonny utasainiwa na TIDAL NA JAY Z, mi nakuombea heri tu kimziki.

Ali Ali Ali ukimbwela mbwela safari hii ndo basiiiii. YOU FAKED IT TILLL YOU MADE IT, sasa baba tulia acha team, ikiwezekana fanya wimbo na Dai mkali sanaa to burry the hatchet ndo utaingia NEW ERA, bigger level bigger devils. Ukiendelea kumuangalia Dai anaimba nini utasanda. N prove me wrong that i under estimated you, you the real talent. Sonny sio nyumbani wanasainiwa watu wengi wanatemwa kila siku. Alitemwa Maria Carey babu wewe. Use this time kufanya kitu. You earned though credit kidogo wape team Wema dont disappoint.

NI HAYO TU.
Sasa Naomba tu niulize.. Wewe uliendika hii mambo ni wakike au wa kiume.??
 
Sitegemei diamond kushuka kimziki hivi karibuni,mshindani wake hasa bado hajapatikana labda yeye mwenyewe aamua kuacha mziki
Ndugu, AJE ndio inamzika Dai kwa taarifa yako. Hili pini ni version ya Cinderella kwa karne hii. Unaijua Cinderella vizuri au uliiskikaga juu juu????
 
dia anapotea sana kimuziki,.ni mwezi wa saba ally kiba anaenda kuchukua BET award vs Davido..aje ni moto,lol
 
Back
Top Bottom