Namuona mpuuzi, VP no ndugu yako?Kwahiyo hilo linakusumbua sana?
Hata angekuwa ndugu yangu, kwahiyo upuuzi unaupima kwa kujenga au kutojenga nyumba?Namuona mpuuzi, VP no ndugu yako?
Sema wanamuziki weusi sababu Ni malimbukeni wa hivi vitu. We ushasikia hata siku moja Eminem anajisifia huo upumbavu wa magari, majumba sijui macheni mabling bling?? Ni weusi tuMsanii kuonesha nyumba take anazomiliki au Mali anazomiliki ndio sifa kuu duniani kote msanii wasanii hupenda kutoka na wapenzi wao hadharani kuonesha Mali zao tunaona hana majuu wakina 50 cent paff dady. Wengi wa wasanii wanaonesha majengo walionunua. Ukiona msanii kama kibakuli anasema yy haezi onesha nyumba yake basis hapo akuna kitu
Nawashangaa hawa hata hawawezi soma btwn the lines. Huyu jamaa kiba anawatoa tu kwenye hiyo habri ya nyumba yake. I know lazima Ana nyumba so ili kumaliza huo mjadala ndio maana kaamua kusema hvy. Kwani yeye hajui nn kingetokea kusema kuwa anapanga mpk sasaKuna watu uwezo wao wa kufikiri mdogo sana...kwa akili ya kawaida Kiba anaweza akakosa nyumba kweli?
Tatizo Wabongo huwa hawataki kuambiwa ukweli, halafu wanajifanya wajuajii,Mhusika Mwenyewe ndio kasema hivyo halafu wewe hutaki,ila kama ni mumeo au ndugu yako yawezekana ikawa kweli maana utakua unamjua in and out.Nawashangaa hawa hata hawawezi soma btwn the lines. Huyu jamaa kiba anawatoa tu kwenye hiyo habri ya nyumba yake. I know lazima Ana nyumba so ili kumaliza huo mjadala ndio maana kaamua kusema hvy. Kwani yeye hajui nn kingetokea kusema kuwa anapanga mpk sasa
Mijitu mingine ina akili ya kufumbua macho tu na kutazama.Kuna watu uwezo wao wa kufikiri mdogo sana...kwa akili ya kawaida Kiba anaweza akakosa nyumba kweli?
Hana nyumba kapanga au hujamsikia akitoa povu xxlAli kiba ana nyumba. Kuhusu kusema hana nyumba ni dongo kalitupa tuu.
Haihitaji akili ya darasani kumwelewa kiba.
[HASHTAG]#kingkiba[/HASHTAG]
Umesoma nilichokiandika? Au unaruka ruka kama kunde mbichi jikon?Hana nyumba kapanga au hujamsikia akitoa povu xxl
Kiki zileKipindi flani walimuonyesha anatoa msaada wa M 21,eti akimzidi Diamond kw M 1 ambaye alitoa M 20,kumbe Jamaa hata kibanda hana.
Hana nyumba ss majiran zake tunajua nyumba kama pembe la ngombe halijifichi utasema una watu watasema unayoAli kiba ana nyumba. Kuhusu kusema hana nyumba ni dongo kalitupa tuu.
Haihitaji akili ya darasani kumwelewa kiba.
[HASHTAG]#kingkiba[/HASHTAG]
usipende kujibu post za JF kwa mihemko wakati mwingine unaonekana hamnazo,ulichokiandika hata wewe umekielewa??tukikuelewesha unajifanya unajua sanaHa ha haaaaaaaaa
F. Gonga alimfurumusha kumtoa katika nyumba yake, ila hata kama ni uamuzi wake. Hasingeongelea angekaa kimya tu, sielewi y kaongelea hata kujibu, angenyamaza.
Mashindano ya nyumba sasa, interesting.
usipende kujibu post za JF kwa mihemko wakati mwingine unaonekana hamnazo,ulichokiandika hata wewe umekielewa??tukikuelewesha unajifanya unajua sana
acha ukurupukaji wa mwendo kasi,thread hazitaki hasiraHahahaaaa bado unanitafuta Mr Kimombo
Eti ooooh mi sio mtu wa shoo off,hata nikiwa nayo sitotangaza. hapa anawaonyesha six packs wadada.Ndio iwe nyumba hasituonyeshe......??