Ali Kiba - 'Mimi ni mkubwa kuliko tuzo', Kura yangu kwa Wizkid

Mkuu kumbe wewe kura yako umeidondosha kwa WIZKID..!
Mimi ni Olamide tu...
Bado Sneh..!

Olamide-Goons-Mi-Art.jpeg
 
Habari,

Ali Kiba - Mimi ni mkubwa zaidi ya tuzo na muziki wangu una thamani zaidi ya tuzo

Ali Kiba aliwahi kuonesha dharau kubwa kwa mashabiki wao kuwa yeye ahitaji Tuzo yoyote ya muziki kwasababu yeye ni mkubwa kuliko tuzo na muziki wake ni mkubwa kuliko hivyo vituzo na ndio maana hata siku moja hajawahi kuhudhuria sherehe za utoaji tuzo. Hili ni tusi kubwa kwa Shardcole Nifah na wengine.

Ali Kiba anasahau kuwa heshima huja unapopata awards mbalimbali. Liverpool na Arsenal bila kuchukua vikombe si chochote mbele ya mashabiki na mpira kwa ujumla.

Nina maana kuwa hata kama Ali Kiba yuko peke yake Tanzania na Afrika Mashariki kamwe siwezi kumpa kura yangu NG'OOO. Hana shukrani kabisa.

Kura zangu zitaenda kwa Wizkid, Yes Wizkid.
View attachment 409105
View attachment 409108
Simkubali Ali Kiba lakini nimempa kura yangu, utaifa kwanza.
 
Acha kuchochea asipigiwe kura... wizkid kitu gani kaka ..msapot kiba wabongo tujulikane. Abroad.. acha mambo ya team
 
Hana ubavu wa kuchukua hiyo tuzo ndio maana anavunga kama anapotezea hajui kuwa watu tulisha msoma
 
nampigia sababu ni mtanzania na si kwa sababu anajua sana kumzidi wizkid, maana hamfikii hata robo. ivi si tunaruhusiwa kupiga mara nyingi tuwezavyo???
 
Uko sahihi mkuu kwa sababu tunampigia the Best act sio issue ya uzalendo wakati ni wazi wizkid anamkimbiza kiba
 
Back
Top Bottom