chukuachako
JF-Expert Member
- Nov 13, 2014
- 1,186
- 797
Kura yangu kwa black coffee
Anzia dakika ya 8 sekunde 15:Huo ni uzushi kama angekuwa alitoa maelezo kama uliyo yatowa wewe basi nafikiri yeye na manager wake wasinge post kuomba kura!
Simkubali Ali Kiba lakini nimempa kura yangu, utaifa kwanza.Habari,
Ali Kiba - Mimi ni mkubwa zaidi ya tuzo na muziki wangu una thamani zaidi ya tuzo
Ali Kiba aliwahi kuonesha dharau kubwa kwa mashabiki wao kuwa yeye ahitaji Tuzo yoyote ya muziki kwasababu yeye ni mkubwa kuliko tuzo na muziki wake ni mkubwa kuliko hivyo vituzo na ndio maana hata siku moja hajawahi kuhudhuria sherehe za utoaji tuzo. Hili ni tusi kubwa kwa Shardcole Nifah na wengine.
Ali Kiba anasahau kuwa heshima huja unapopata awards mbalimbali. Liverpool na Arsenal bila kuchukua vikombe si chochote mbele ya mashabiki na mpira kwa ujumla.
Nina maana kuwa hata kama Ali Kiba yuko peke yake Tanzania na Afrika Mashariki kamwe siwezi kumpa kura yangu NG'OOO. Hana shukrani kabisa.
Kura zangu zitaenda kwa Wizkid, Yes Wizkid.
View attachment 409105
View attachment 409108
Dawa ya moto ni moto!Jeuri dawa yake kiburi.
wivu unawasumbua mkuuWa tz aliyeturoga kashakufaga nadhani