Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,315
- 33,109
Ali Kiba kurekodi video Marekani
Ali Kiba Monday, June 08, 2009 12:46 PM
MSANII wa Bongo Fleva, Ali Kiba anatarajiwa kufanya video mbili za nyimbo zake huko Marekani. Akizungumza mtandao huu mwishoni mwa wiki iliyopita jijini Dar es Salaam, Ali Kiba alisema ameamua kufanya video zake Marekani ili kuzipa ubora unaotakiwa kimataifa.
Msanii huyo alisema yuko katika maandalizi ya mwishomwisho kuelekea nchini humo na picha za video zinatarajia kuchukuliwa katika miji ya Los Angeles na Seattle.
Nina nyimbo mbili ambazo nitazifanyia video Marekani, Tell Me Why nitaurekodi Los Angeles na 1st Single nitaifanyia Seattle, alisema.
Ali Kiba ambaye alipata kutamba na nyimbo mbili za Cinderella na Mackmuga, alisema vibao vyake viwili vya Los Angeles na 1st Single vitakuwamo katika albamu yake mpya ya Msiniseme
Ali Kiba Monday, June 08, 2009 12:46 PM
MSANII wa Bongo Fleva, Ali Kiba anatarajiwa kufanya video mbili za nyimbo zake huko Marekani. Akizungumza mtandao huu mwishoni mwa wiki iliyopita jijini Dar es Salaam, Ali Kiba alisema ameamua kufanya video zake Marekani ili kuzipa ubora unaotakiwa kimataifa.
Msanii huyo alisema yuko katika maandalizi ya mwishomwisho kuelekea nchini humo na picha za video zinatarajia kuchukuliwa katika miji ya Los Angeles na Seattle.
Nina nyimbo mbili ambazo nitazifanyia video Marekani, Tell Me Why nitaurekodi Los Angeles na 1st Single nitaifanyia Seattle, alisema.
Ali Kiba ambaye alipata kutamba na nyimbo mbili za Cinderella na Mackmuga, alisema vibao vyake viwili vya Los Angeles na 1st Single vitakuwamo katika albamu yake mpya ya Msiniseme