Freelancer Wakala
JF-Expert Member
- Feb 6, 2016
- 1,193
- 823
Msanii ni neno lililotokana na sanaa hivyo basi mtu yeyote anayefanya kazi ya sanaa anaitwa masanii,sasa basi huwezi kuwa Mwanamziki kama siyo Msanii kwani Muziki ni Miongoni mwa Vipera vya sanaa.
Hapa Ali Kiba akimanisha yeye ni Mwanamziki.