brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,876
- 7,366
Alikiba ametajwa kuwania kwenye tuzo za mwaka huu za MTV Europe Music Awards
(EMA) kipengele cha Best African Act.
Kiba atachuana na wasanii wengine wakiwemo Wizkid na Olamide wa Nigeria na Black Coffee na Cassper Nyovest wa Afrika Kusini.
Mshindi wa hatua hii ya kwanza ataenda kuwakilisha moja kwa moja kuwakilisha kwenye mtv worldwide act.
Mwaka jana mshindi wa Vingelele vyote viliwi alikuwa Mtanzania Diamond Platnumz alietwa tuzo zote 2 na kuwa mwafrika wa kwanza kushinda kwenye kipengele cha world wide act akimshinda mhundi mwanamuziki na muigizaji Pryinka Chopra.
(EMA) kipengele cha Best African Act.
Kiba atachuana na wasanii wengine wakiwemo Wizkid na Olamide wa Nigeria na Black Coffee na Cassper Nyovest wa Afrika Kusini.
Mshindi wa hatua hii ya kwanza ataenda kuwakilisha moja kwa moja kuwakilisha kwenye mtv worldwide act.
Mwaka jana mshindi wa Vingelele vyote viliwi alikuwa Mtanzania Diamond Platnumz alietwa tuzo zote 2 na kuwa mwafrika wa kwanza kushinda kwenye kipengele cha world wide act akimshinda mhundi mwanamuziki na muigizaji Pryinka Chopra.