All the best joho
Jamaa kashashinda tayari...
Labda kwa kura za maruhani...
Tuweke dau?
mi naweka US $100 we penga kamasi
haya 100 USD, shahidi nani?
mwanakwetu chagua wewe...
Mkuu Ab-Titchaz naomba unisaidie kuchukua hiyo dola 100 toka kwa ndugu yangu Gang Chomba. Ukishachukua dola 50 iwe yako kama shahidi na dola 50 ingiza kwenye akaunti ya JF tafadhali.
Jamaa kashashinda tayari...
Labda kwa kura za maruhani...
Tuweke dau?
mi naweka US $100 we penga kamasi
haya 100 USD, shahidi nani?
Hatukubali matokeo.
Kwanza jamaa amedanganya vyeti vyake vya elimu, pili anahusishwa na kundi lililotajwa mwishoni mwa mwongo ulopita kuwa ni muuza mihadarati aina ya Cocaine aliyekubuhu na iwapo atapatikana na hatia itabidi aingie shimo la tewa...
Hakika ni muhuni.
Mkuu Ab-Titchaz naomba unisaidie kuchukua hiyo dola 100 toka kwa ndugu yangu Gang Chomba. Ukishachukua dola 50 iwe yako kama shahidi na dola 50 ingiza kwenye akaunti ya JF tafadhali.