Tanzania haijapiga kona yoyote hadi sasa dakika ya 80
watangazaji wanatoa wasifu wa ngassa kuwa anchezea azm ila alikuwa yanga, mji mkuu wetu ni dodoma na ndo kunapatikana mlima kilimanjaro
asanteni kwa kutuendelezea utalii
hee, hivi humo uwanjani kuna referee au kivuli? yaani mpira umetoka kabisa ukarudishwa uwanjani ukaendea
Hata mechi yenyewe nikubwa...yaani mpaka hapo nashukru mungu kwamba mpaka sasa TZ 1 ALG 1 na wako kwao...Kwa kweli golikipa ni mzuri. Ila tu waliomo ndani ya uwanja wanaonekana kuchanganyikiwa. wanapiga tu mipira ilimradi kupiga