hawana kitu hawa... tena kado akitoka ndo kabisaa dronuMmmh! Kwa mpira huu, ngoja niwahi kulala. Maana sitamani kushudia kipigo cha mbwa mwizi hapa.
hawana kitu hawa... tena kado akitoka ndo kabisaa dronu
Acid huko ulipo ndo kumekucha nini?! au mtandao nao mashaka!! hapo bolded unamaanisha draw au?hawana kitu hawa... tena kado akitoka ndo kabisaa dronu
Mtu kwao...Huyu refa anawabeba hawa waarabu
Lukolo hata ibilisi anaweza kukutia nguvu be specificNayaweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu
huyu refa atakuwa na kadi ya ccm huyu ana kila dalili ya ufisadiSina imani na refa