Game Theory
JF-Expert Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 833
Kama kuna mtu alikuwa anamsoma kwenye gazeti la Daily News atakuwa anamjua.
Nilikuwa nafahamiana naye kama uncle wangu na to be honest I'm still in shock
The same week tuliyompoteza David Wakati na Mwenyezi Mungu kaamua kumchukua mja wake Uncle Ngotezi ambaye ametutangulia mbele ya haki.
Inna lillahi wa inna ilaahi Rajuun