Alfalfa Seeds Needed within Tanzania

sun wu

JF-Expert Member
Apr 1, 2012
2,020
1,419
Tafadhali naomba kama kuna mtu anaweza kupata hizi mbegu au anajua zinapatikana wapi within Tanzania..

Thanks and will appreciate any information.
 
Watafute wakala wa mbegu Morogoro, google hili jina utapata contact zao. Pia kuna kampuni inauza/export majani yake yaliokaushwa Chang'ombe sijui wanalima wapi. Na mimi natafuta kwakweli sijapata muda wa kufatilia ila ukienda taasisi za kilimo Morogoro au Arusha unaweza ukapata au aina nyinginezo.
 
Alfalfa ni mbegu za kitu gan ? Kama ni mbegu za kampun inayoitwa alpha hiyo naifahamu na kama ni iffa seed pia naijuwa
 
kumbe hii ilishaletwa ndani ya JF kwenye JF Doctor uzi nime update ni wa 2010, mbegu zinawezapatikana LITI Morogoro.
 
kumbe hii ilishaletwa ndani ya JF kwenye JF Doctor uzi nime update ni wa 2010, mbegu zinawezapatikana LITI Morogoro.

Mama Joe, yaani nazitafuta kweli kweli hizi mbegu za lucerne/alfalfa ... ni sehemu gani hiyo details zaidi mkuu
 
Mama Joe, yaani nazitafuta kweli kweli hizi mbegu za lucerne/alfalfa ... ni sehemu gani hiyo details zaidi mkuu
hata mimi nimezitafuta muda mrefu sana Morogoro sio mgeni sana ila sijajua hiki chuo kiko wapi ni chuo kama cha Tengeru au Uyole ila nadhani mtu ukiwa Morogoro utakipata tu. Halafu kuna miti ya Leuceana (spp) Colliandra
au Kiswahili Kalianda nayo ni mbadala nzuri sana iwapo ukikosa Lucerne. Mimi nipo mbali kwa sasa nikiweza kuupata nitaleta info hapa.
 
Tafadhali naomba kama kuna mtu anaweza kupata hizi mbegu au anajua zinapatikana wapi within Tanzania..

Thanks and will appreciate any information.

Mtanipatia sh. ngapi niwaletee tarehe 5/6 October?
Zina matumizi gani? Faida yake ni nini nami nizipande kwangu?

Kuna kimmea fulani cha ajabu nilinunua mbegu zake kinaitwa CATNIP. Ni kimmea ambacho wanyama waliopo katika Genus inayoitwa Feline (mfano Felis domestica = paka) wanapenda sana kuuchezea kwa sababu ya harufu yake.
 
Na mimi ninahitaji hii mbegu URGENTLY...mwenye nayo naomba aniPM ASAP
 
Mtanipatia sh. ngapi niwaletee tarehe 5/6 October?
Zina matumizi gani? Faida yake ni nini nami nizipande kwangu?

Kuna kimmea fulani cha ajabu nilinunua mbegu zake kinaitwa CATNIP. Ni kimmea ambacho wanyama waliopo katika Genus inayoitwa Feline (mfano Felis domestica = paka) wanapenda sana kuuchezea kwa sababu ya harufu yake.
zinavuta hela nyumbani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom