Kaka yenu TANMO.
afrodenzi you were so cute, Masha'allah! yani sura yako haijabadilika sana. lol. Invisible is still hot, na tuliamua pamoja kuacha sigara.
Enzi hizo kloro kloro kweli kwa mabugaloo na raizoni humtoi,shuleni alikuwa anaitwa bitozi mick jagger.
hehehehe nikiikumbuka hii siku nabaki kucheka maana baada ya hapo beach kilichoendelea ni Kaizer anakijua lol ! Thanks Roulette kwa good memoriesNikiwa najipumzisha hapa kwa Mamndenyi, nimepewa album ya familia yetu kuu ya JF (with legend of who is who in the zoo).
Kumradhi members wote watakao tajwa, hamna cha name calling wala nini, nimepewa ruhsa na uongozi wa JF>
tunaanza na picha ya picknick ya mwaka mpya Mwanza: from ledt to right: gfsonwin akimrudishia Kaizer heleni alizo pewa baada ya kugundua kua kuna expectations in return (Nyuma kabisa ni Kimey); Saint Ivuga akiwakumbatia Mwali na CUTE (Cute ni huyo alie suka), Judgement na Husninyo
View attachment 56955
Na yako pia sijaiona....