Habari wana jf!
Nimekua nikipita maeneo mbali mbali karibu kila mkoa nimekua nikiona kuta za nyumba au majengo mbalimbali vimewekewa alama ya X nyekundu, yawezekana kuna waliokumbwa humu jf.
Ningependa kujua ni kitengo gani kinahusika na hilo lakini pia wandugu naomba kuuliza hivi kazi hiyo yakuweka alama izo hufanyika mida gani jamani mbona sijawahi kuwaona?
AHSANTENI!
Nimekua nikipita maeneo mbali mbali karibu kila mkoa nimekua nikiona kuta za nyumba au majengo mbalimbali vimewekewa alama ya X nyekundu, yawezekana kuna waliokumbwa humu jf.
Ningependa kujua ni kitengo gani kinahusika na hilo lakini pia wandugu naomba kuuliza hivi kazi hiyo yakuweka alama izo hufanyika mida gani jamani mbona sijawahi kuwaona?
AHSANTENI!