Alama ya taifa ni ipi??

chakochetu

Senior Member
Oct 13, 2012
108
35
Nasikia alama ya TWIGA ilikuwa ndio alama ya Tanzania,ndio maana hata shirika la ndege liliweka kwenye ndege zake,hata Noti za Tanzania ziliweka watermark ya Twiga.
Kenya wao alama ya simba ndio alama yao ya Taifa,Uganda wao ni yule ndege aitwaye 'the crane'

Alama hizi zilikuwa zina maana;Twiga,mnyama mstaarabu,muungwana-hii ilikuwa ndio taswira ya Taifa

Sasa naona kila kitu kimebadilishwa,ATCL alama ya Twiga wameondoa,Noti zilizochapishwa nyingi hazina alama ya Twiga tena.

Kwa sasa sijui alama inayoitambulisha Taifa la Tanzania nini ipi?au kila kitu alama inawekwa ya Mlima kilimanjaro,kwani Tafsiri ya Alama hii na zingine ni nini?!!!!
 
mbona twiga yupo kwenye noti? Hebu chukua noti ya sh 10,000 geuza nyuma utamwona, au ulitaka twiga mkuuuuuuuuuuuubwa?
 
Kuna sura ya mtu itawekwa, yeye ata-replace wote wawili mtu na mnyama!! Napendelea tungeweka SUNGURA maana tumekuwa wajanja wajanja na waongo kila siku kwa kila kitu; kwahio option ziko mbili nilizotoa
Moja; itafutwe sura ya kiongozi atakaye-replace nafasi ya Mnyama na Mwanandamu
Pili, Tuweke Picha ya Sungura kuonyesha ubabaishaji wetu, udhaifu na ulegeulege na kulalamika

Rabiittt.jpg
 
Kuna sura ya mtu itawekwa, yeye ata-replace wote wawili mtu na mnyama!! Napendelea tungeweka SUNGURA maana tumekuwa wajanja wajanja na waongo kila siku kwa kila kitu; kwahio option ziko mbili nilizotoa
Moja; itafutwe sura ya kiongozi atakaye-replace nafasi ya Mnyama na Mwanandamu
Pili, Tuweke Picha ya Sungura kuonyesha ubabaishaji wetu, udhaifu na ulegeulege na kulalamika




View attachment 70346
:bowl:
Umenikumbusha mbali sana, zamani kwenye senti hamsini alikuwepo huyu Sungura, sijui kwanini walimweka.
 
:bowl:
Umenikumbusha mbali sana, zamani kwenye senti hamsini alikuwepo huyu Sungura, sijui kwanini walimweka.
mkuu siyo zamani tu,hata leo kwenye hiyo senti hamsini yupo!!!au wewe huzitumii tena hizo thumni!!!
 
Hata hii alama ingefaa sana kuwekwa kwenye noti kuonyesha asili ya Mtanzania
Stephen%252520Wassirax%25255B3%25255D.jpg
 
mkuu siyo zamani tu,hata leo kwenye hiyo senti hamsini yupo!!!au wewe huzitumii tena hizo thumni!!!
Zamaulid, utaitumia wapi hii thumni? zamani nakumbuka nilipokuwa mdogo nilikuwa nikitumia ile thumni kununua biskuti. siku hizi hata shilingi 10 tu kuitumia ni vigumu sana.
 
Back
Top Bottom