The Dreamer
JF-Expert Member
- Feb 2, 2009
- 1,282
- 20
Wapendwa wanaJF, wote tunajua kwamba kura za internet ambayo watumiaji wake wengi ni wafanyakazi, wanafunzi na wasomi wameikataa CCM na JK wake kwa Kishindo (Rejea Poll of Polls hapa JF). Hii ina maana ile alama ya Nyundo kuwakilisha wafanyakazi kwenye nembo ya CCM imepitwa na wakati. Nawashauri waweke alama pesa badala ya nyundo kumaanisha ni Chama cha wafanyabiashara na mafisadi...pesa kama msingi wa maendeleo!