Kasimba G
JF-Expert Member
- Jan 19, 2011
- 3,428
- 2,609
- J K Nyerere, Alama kubwa ambayo tunaweza kumkumbuka ni uhuru wa Tanganyika, yeye ndiye aliyepigania uhuru na kuwezesha kuwa na Tanganyika huru
- R M Kawawa, mabadiriko kama Azimio la Arusha, Madaraka vijijini, Mikoani na mabadiriko mbalimbali ya miundo ya kiserikali
- Cleopa Msuya, Transitional, labda maendeleo ya Mwanga, sijui mengine aliyo yafanya kwa taifa except umeme mwanga, na ?
- Edward M Sokoine, tunakumbuka mambo ya uhujumu uchumi na usimamizi wa utendaji wa haki serikalini, n.k
- Salim A Salim, Soko huria na mabadiriko ya maisha kwa ujumla baada ya msoto wa kuanzia 1979, alisimamia vizuri saana.
- J S Warioba, hakuacha land mark yeyote
- J S Malecela, Utaratibu wa mabasi kusafiri mchana badara ya usiku, Umuhimu wa utanganyika i.e. Tanganyika kuzaliwa upya n.k.
- F Sumaye Long serving ila landmark nina wasiwasi, labda tuseme alisimamia vizuri sera za uchumi za bosi wake!
- E Lowassa, Shule za kata
- MK Pinda, sijaona labda mnikumbushe wana JF wenzangu
Nawasilisha.