Hivi uzinzi Tanzania ulianza mwaka gani?
Wakizungumza wakiwa kwenye kituo cha Polisi cha Mbagala kufuatilia hatma ya ndugu yao, ndugu hao ambao hawakutaka majina yao yatajwe gazetini walisema "Tunachoshangaa ni kwa nini polisi wapige risasi wakati wakijua hawakuwa majambazi ila walikuwa wakifanya mapenzi," alisema ndugu mmoja.
Alisema kimsingi tukio hilo lilikwenda katika makubaliano yao na sio ubakaji kama wanavyodai.
Source :- Nipashe Jumapili
Kama wana hamu ya kufyatua risasi si waombe nafasi za kwenda uko Libya au Somali wakapambane na Vijana a.k.a Al-Shabab.Watu wako jeshini miaka nenda rudi wana hamu ya kufytua risasi wakipta upenyo kama huo wanautuma, maybe tupate vita kidogo ili na wao wawe wamefanya kazi yao
<br /><br /><br />
<br /><br />
Itafika siku hadi mtoto wako wa kumzaa akijinyea utailaumu CCM, kuwa inawapeleka wapi, watanzania muache ushabiki usio na msingi, swala hilo linaingiliana vp na chama, mtoto ushindwe kumlea wewe, unalaum mwingne, sheria zimewekwa, sehem za starehe watoto hawaruhusiwi, pombe isiuzwe kwa mtu chini ya miaka 18, so unataka makada wa CCM wakae kila bar ku-enforce hizo sheria?? <br />
for ur info, law enforcers ni police, may b thats the reason walienda sehem hiyo, but walichobugi ni kufyatua risasi kwa mtu asiyetishia usalama wa polisi hao, and thats the main point of discussion....hata ikitawala chama cha mapadre-CHADEMA, IT WILL ALL BE THE SAME.....
huyo mwanamke alikuwa bar...wazazi wake wako wapi? huu ni mfumo duni wa ccm ..mtoto han la kufanya anajiuza..who to blame? CCM and no one else....offcourse kutembea na underage ni kosa kisheria, mteja kaenda bar kakuta malaya kamnunua..au siku hivi wanawake (machangudoa) wanaandikwa miaka yao vifuani?..ccm mnatupeleka wapi? i cant wait hili li CCM kufa
Ndio maana Serikali ya CCM imeamuwa kutengezesha vitambulisho vya uraia ambapo bar wataweza kuthibitisha umri wa anaeingia hapo bar kama wanavyofanya nchi zingine. Kwa sasa tumlaumu Nyerere aliyekuwa hataki tuwe na vitambulisho vya uraia.
Tuache mambo ya ushabiki na kuweka kila kwenye mambo ya kisiasa hivi ni kweli hao wazinzi waliambiwa wafanye hivyo na ccm? au hao polisi walipewa amri ya kufyatua risasi na ccm? Malaya ni malaya tu hata wakiwa ulaya na hawawezi kuacha hata kama wakipewa kazi ikulu wataendeleza umalaya hata na walinzi au wafagiaji ni tabia chafu na malezo mabaya ya wazazi wao.
CCM inahusika kwa 100% kwa sababu haiingii akilini mtoto wa miaka 16 anakuwa hayupo kwene uangalizi wa wazazi au walezi usiku wa manane..Serikali inatakiwa kushape mustakabali wa jamii kuanzia ngazi ya familia mpaka taifa..badala kufanya yanayowahusu raia wao wako bize kuuza nchi.
Malaya ni Malaya tu awe CUF, CDM, CCM,TLP, wote wanaitwa Malaya
<br />
<br />
Itafika siku hadi mtoto wako wa kumzaa akijinyea utailaumu CCM, kuwa inawapeleka wapi, watanzania muache ushabiki usio na msingi, swala hilo linaingiliana vp na chama, mtoto ushindwe kumlea wewe, unalaum mwingne, sheria zimewekwa, sehem za starehe watoto hawaruhusiwi, pombe isiuzwe kwa mtu chini ya miaka 18, so unataka makada wa CCM wakae kila bar ku-enforce hizo sheria??
for ur info, law enforcers ni police, may b thats the reason walienda sehem hiyo, but walichobugi ni kufyatua risasi kwa mtu asiyetishia usalama wa polisi hao, and thats the main point of discussion....hata ikitawala chama cha mapadre-CHADEMA, IT WILL ALL BE THE SAME.....
Ahahahaaaah!! Hii kaka imetulia naona watu wameanza kuingiza siasa kwenye hii ishu...
ccm na ahadi zenu feki unauliza kwanini wanajiuza kamuulize ******
"jeshi la polisi limekumbwa na kashfa nyingine baada ya askari wake kudaiwa kumpiga risasi msichana wa miaka 16 baada ya kumkuta akivunja amri ya sita ndani ya gari."
miaka 16??????
Kufanya malovedove na mtoto under 18 ,ubakaji though pia nadhani polisi hawakuwa na nia ya kumlabua huyo bint risasi it seems that walitaka watoboe tyre then wawadai kitu kidogo !!!!!!!!!! mi mwenyewe nshawahi kukoswa risasi bar walitukuta nyt kali af wakadai kitu, kidogo wakabeba viti tulivyokomaa nao wakawakaanza fyatua risasi!!! Wanadai ati timevnja sheria weee tulivyozidisha jeuri wakasema et tulitaka kuwapora silaha!!! Waroho sana ndo mana wkt mngne wanavka mipaka
Hao ndo Polisi wa Kibongo. Hata mimi tukio kama hilo nusura linikute siku ya Idd nilipokuwa Dodoma. Baada ya kumaliza starehe zangu pale Maisha Club, niliondoka na Infi mmoja kuelekea nyumba 300 kwa mshkaji wangu. Niliwapita polisi pale CBE na wala hawakunisimamisha. Cha kushangaza baada ya kupita njia panda ya area D, niliona gari la polisi likinifuata kwa kasi na kuniwashia taa za amri ya kusimama. Niliposimama, wala hawakuwa na ishu ya maana zaidi ya usumbufu. I hate them.It clearly looks like was a consensus among the two, so how did police get into and opened fire to the girl? There is apparently covering up of some of the information which could otherwise reveal the police weaknesses.
Hapa Mkuu umechemsha, kidooogo tu! Hivi unalaumu CCM kwa tabia za watu binafsi?huyo mwanamke alikuwa bar...wazazi wake wako wapi? huu ni mfumo duni wa ccm ..mtoto han la kufanya anajiuza..who to blame? CCM and no one else....offcourse kutembea na underage ni kosa kisheria, mteja kaenda bar kakuta malaya kamnunua..au siku hivi wanawake (machangudoa) wanaandikwa miaka yao vifuani?..ccm mnatupeleka wapi? i cant wait hili li CCM kufa
Uzinifu ni kosa Tanzania? Mbona kila kukicha tunaona viota vya MaCD na wateja wakubwa ni viongoz wa serikali (na wa kidini)?Huyo msichana hata angekuwa ni mwanamke mwenye miaka zaidi ya 18, Na mwanaume kadhalika, bado suwala la uzinifu ni kosa kwa sheria za Tanzania. Na haswa kama linafanywa nje kwenye magari.