gwagu
Member
- Oct 20, 2010
- 11
- 1
Kunabosi mmoja katika taasisi inayohusiana na usimamizi katka safali za anga ambae ni mkulugenzi wa utumishi ametoa ya mwaka kwa kukataa kutoa zawadi za noel na mwaka mpya kwa vituo vya watoto yatima na wajane badala yake akaamulu zawadi hizo wapelekewe maofisa wa wizala ya uchukuzi na hazina bila kujali ya kuwa watoto hao wanhitaji kupata falaja katika kipindi hiki na pesa za zawadi ni kodi ya wavuja jasho wa nchi hii lakini matokeo yake akawapeleke watu ambao kwanza hawana shida kama hao yatima na pia hata mkuu wa nchi huwa anapeleka zawadi kwa yatima lakini kwa vile anajikomba kwa wakubwa ndioakaona apelekee zawadi wakubwa wa hazina na uchukuzi bila kuwajali mayatima wa mungu
kwa kujipendekeza ndio akamlipa mkulugezi anae kaimu feza za fenicha kiasi cha milioni kumi na nane je akipatikana mkulugenzi mpya itakuwaje feza zake za fenicha
na alaaniwe kila anaenyanyasa yatima na wajane
kwa kujipendekeza ndio akamlipa mkulugezi anae kaimu feza za fenicha kiasi cha milioni kumi na nane je akipatikana mkulugenzi mpya itakuwaje feza zake za fenicha
na alaaniwe kila anaenyanyasa yatima na wajane