KIBURUDISHO
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 1,002
- 274
Niko kwenye tv nafuatilia Hotuba ya mh,PM na Madaktari ndipo nilipogundua kuwa kumbe kiapo chao madaktari kinawaruhusu wazi kufanya mgomo ili kutekeleza kiapo chao walicho apa .Swali kwenu waalimu kiapo chenu kinasemaje? Na kama kinasema hivyo hamuoni huo ndio mwanya wa nyie Kudharaurika?
Nawasilisha.
Nawasilisha.