Alaa kumbe!

Dan84

Member
Apr 3, 2012
49
24
Kumbe wahudumu wa mabaa (bar maids) kwenye vile vipochi vidogo vinavyoning'inia, wanakuwa na vikaratasi vidogo ambavyo wameandika namba za simu, ukijichanganya, unapewa ratiba ya huduma! Wadau lets drink safely, life is short!
 
Kumbe wahudumu wa mabaa (bar maids) kwenye vile vipochi vidogo vinavyoning'inia, wanakuwa na vikaratasi vidogo ambavyo wameandika namba za simu, ukijichanganya, unapewa ratiba ya huduma! Wadau lets drink safely, life is short!

Mmmmmhhhhh?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom