Al-Shabab Threatens Terrorist Attack Against Nairobi Skyscrapers

Ndugu, we get that there is a threat...we don't need AK to inform us and hopefully, it will be dealt with. What I was pointing out is that AK's concern is false. He has said on this forum that he would like to see Nairobi being blown into smithereens (as you put it), more than once in fact so it's not an unfair accusation at all. His own words condemn him. If you have spent any amount of time in this section of the forum, you would know that AK and his two acolytes (they've gone strangely silent of late) have nothing but hate for Kenya. You can't say that mtu anatutakia mema wakati mwenyewe amekuwa akisema eti angependa kuona vifo vya wanajeshi wa Kenya huko Somalia na miji ya Kenya ikisambaratishwa. It seems that you're too biased to see the truth in front of your eyes!
Speak for yourself. Why do you keep on wallowing in self pity?
 
Please PM me for a candid discussion, 'am very much concern na mambo yanavyo kwenda huko - naweza kusaidia kwa mawazo, please husiulize maswali mengi kwenye public, all I can say 'am an engineer. Nimepitia National service, nimewahi kuishi na mwanafunzi mwenzangu mu-IRISH, nadhani hiyo inatosha kwa sasa.

National Service in Tanzania is no different a program from the NYS program in Kenya. Apart from Unit Cohesion & Unit Discipline as well as very limited Small Arms training, no soldier is made out of the National Service programs in either Country. These are political and not Military programs, and for a proletarian-type army like the JWTZ, a greater emphasis is on the earlier.

And on this basis, National Service, you perceive yourself an expert on security matters, have the temerity to loosely sling your unsolicited advise to others?? What a f@cking joke!!

I asked that question simply coz that you express yourself with sublime yet arrogant ignorance of an educated man as if the matters you speak of were academic considerations. You brook no divergence, are overtly condescending in your dismissive comments of objections to the style and content of your expression.

Certainly not to get into Private Messaging witcha, dude!! Eeeiish!!
 
Hi, LIVEFIRE what's UP Buddy?

am doing great, just taking a breather from a potentially explosive discussion: LIVEFIRE style. Anyway hope you duin great and keep it on the low down with DELTA4, he is friendly but a hybrid....all the same (dont push it with the security issues). No one would share any info if any through unsecure lines such as JF.
 
Aisee, waKenya waliyataka wenyewe haya kuwakumbatia wamarekani katika mission zao, sasa angalia yanayowatokea, na huku kwetu Tanzania tukikubali kuwa kafara kama hawa watu tutajuta, Mola anusuru yasitokee hapa. Hii yote ni kujipendekeza kwa wamarekani ili kutekeleza mission zao za kuchota mafuta, matokeao yake wao wako kwao wanakula shushi, watu wengine wanakufa bila sababu, naomba MAFUTA YASIPATIKANE TANZANIA, tutachinjwa kama kuku
 
National Service in Tanzania is no different a program from the NYS program in Kenya. Apart from Unit Cohesion & Unit Discipline as well as very limited Small Arms training, no soldier is made out of the National Service programs in either Country. These are political and not Military programs, and for a proletarian-type army like the JWTZ, a greater emphasis is on the earlier.

And on this basis, National Service, you perceive yourself an expert on security matters, have the temerity to loosely sling your unsolicited advise to others?? What a f@cking joke!!

I asked that question simply coz that you express yourself with sublime yet arrogant ignorance of an educated man as if the matters you speak of were academic considerations. You brook no divergence, are overtly condescending in your dismissive comments of objections to the style and content of your expression.

Certainly not to get into Private Messaging witcha, dude!! Eeeiish!!

Yale yaleeee....!
 
Aisee, waKenya waliyataka wenyewe haya kuwakumbatia wamarekani katika mission zao, sasa angalia yanayowatokea, na huku kwetu Tanzania tukikubali kuwa kafara kama hawa watu tutajuta, Mola anusuru yasitokee hapa. Hii yote ni kujipendekeza kwa wamarekani ili kutekeleza mission zao za kuchota mafuta, matokeao yake wao wako kwao wanakula shushi, watu wengine wanakufa bila sababu, naomba MAFUTA YASIPATIKANE TANZANIA, tutachinjwa kama kuku

Please allow me to correct you, Ndugu Mkomatembo, about the genesis of KDF involvement in Somalia.

When we went in, in October last year, except for two IGAD Presidents - Museveni and Zenawi, neither the Americans nor the Europeans had any inkling about the Operation. In fact initially there was great resistance to it from the Americans, after their obvious shock at the audacity of the Operation and that they were so completely in the dark of it's planning; there was also the typical European arrogant condemnation that advised how ill-considered the decision was. J

In a nut-shell, the justification for this Operation was the clear Stalemate that of the AMISOM Mogadishu Operation which dangerously enboldened Al-shaabaab and propagated Al-Shaabab's extremism within East Africa. The Continued instability of Somalia had also over the years ejected nearly one-tenth of her population into Kenya, the numbers growing each year with devastating demographic consequences to Kenya.

Kenya is not doing the bidding of any external forces, but Kenya is in effect actualizing a deliberate strategy crafted by the IGAD. It is only following upon the spectacular successes of KDF in Somalia, acknowledged even by Western Military Organisations, that wider acceptance of KDF in Somalia ensued, leading to the AU finally adopting the Operation and the UNSC legalizing it.

Al-shaabaab has but one Ideology of extremism without cause. It has no national nor political agenda at all. No one, least of all Tanzania with your complex multicultural demographic composition, is safe from this madness that exploits real and imagine societal tensions amongst us.
 
shabab speaks as if kenyan skyscrappers are the tallest in the world this has caused a spiral of misinformation with major world news channels like al jazeera cnn bbc dw etc describing kenya skyscrappers as if they are the same size with hongkong or singapore ones unwittingly al shabab just promoted nairobi as a universal business hub
 
i also believe thatc the confidence of al shabab saying in two weeks time possibly could mean that they have planted the bomb already and just waiting to detonate it. that said askari kanzu is another proud class seven graduate and should be ignored since his IQ is obviously just a mere fraction of the mighty kenyans in this forum
 
i also believe thatc the confidence of al shabab saying in two weeks time possibly could mean that they have planted the bomb already and just waiting to detonate it. that said askari kanzu is another proud class seven graduate and should be ignored since his IQ is obviously just a mere fraction of the mighty kenyans in this forum

And why are these "mighty" Kenyans debating with this proud 'class seven" graduate? What does that tell you?
 
And why are these "mighty" Kenyans debating with this proud 'class seven" graduate? What does thae tell you?
This fugacious prima donna calling himself Nairoberry sounds scared. He is shaking in his loins!
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Yale yaleeee....!

Kwa hiyo mkuu umeamini analysis niliyoitoa hapo awali anazungumzia a "proletarian-type army" ndiyo mambo waliyo fundishwa shuleni hayo CAPITALISM vs COMMUNISM/SOCIALISM, hana habari kwamba dunia imekwisha badirika - jeshi lao linashindwa ku-cotain a rag tag Al-Shabaab, huu mwezi wangapi tangu wahanze kufukuzana nao, wala hilo awalioni majivuno TU, na outburst za mtu aliye kata tamaa yuko paranoid tu akiona unyasi anashtuka anafikili ni nyoka.

Sisi tutashauriana na Wakenya wenye akili timamu mbona wapo tele, Watanzania atujazoea mambo ya matusi siyo kwamba hatujuhi kuyatamka hiyo siyo jadi yetu. Ukiona mtu mzima analeta majivujo ya kishezi na kutoa matusi ya nguoni - lugha hizi za mitaani mtu unajua kwamba huyu ni progen wa kutoka Mathale Valley, mtu unategemea kupata mtoto wa design gani kutoka mazingira kama yale.

We unafikili kama ningemwambia Laila kwamba nataka kutoa mchango wangu wa mawazo, kama inaweza kusaidia - unafikili Laila angepuuzia hilo-hasingepuuzia hata kidogo yeye ni mtu mwelevu na muona mbali na amewahi kukaa Tanzania hana remnant ya colonial mentality kama ya huyu mjinga - yeye akili zake anafikili mpaka apate ushauri kutoka kwa mzungu hiyo ndio balabala. Sisemi mengi yetu macho.
 
  • Thanks
Reactions: FJM
... is shaking in his loins!

If you are anywhere decent in your education level, you would without doubt know that the bit in red is not English in Language.

It was probably your intention to convey a state of fear, in which event the proper places that would be said to be shaking are ''his boots''.

Loin-shaking has connotations of frenzied sexual activity though even then the choice of wording is only just correct.
 
If you are anywhere decent in your education level, you would without doubt know that the bit in red is not English in Language.

It was probably your intention to convey a state of fear, in which event the proper places that would be said to be shaking are ''his boots''.

Loin-shaking has connotations of frenzied sexual activity though even then the choice of wording is only just correct.
Apparently, English is not my mother tongue. Do you have any problem with that? Try to read the Old Testament once again and see who is wrong here!
 
Tis not about your tribal, nor even your nationality. But about your education or the lack of it, moron.

Even in TZ degrees are not read in ''mother tongue'', eh!!
Try to read Ngugi wa Thion'go's Decolonizing the Mind and you will understand who is a moron here. I have never been impressed by Africans who think mastery of English is a litmus test of intellectual excellence!
 
Yale yaleeee....!

Kwa hiyo mkuu umeamini analysis niliyoitoa hapo awali anazungumzia a "proletarian-type army" ndiyo mambo waliyo fundishwa shuleni hayo CAPITALISM vs COMMUNISM/SOCIALISM, hana habari kwamba dunia imekwisha badirika - jeshi lao linashindwa ku-cotain a rag tag Al-Shabaab, huu mwezi wangapi tangu wahanze kufukuzana nao, wala hilo awalioni majivuno TU, na outburst za mtu aliye kata tamaa yuko paranoid tu akiona unyasi anashtuka anafikili ni nyoka.

Sisi tutashauriana na Wakenya wenye akili timamu mbona wapo tele, Watanzania atujazoea mambo ya matusi siyo kwamba hatujuhi kuyatamka hiyo siyo jadi yetu. Ukiona mtu mzima analeta majivujo ya kishezi na kutoa matusi ya nguoni - lugha hizi za mitaani mtu unajua kwamba huyu ni progen wa kutoka Mathale Valley, mtu unategemea kupata mtoto wa design gani kutoka mazingira kama yale.

We unafikili kama ningemwambia Laila kwamba nataka kutoa mchango wangu wa mawazo, kama inaweza kusaidia - unafikili Laila angepuuzia hilo-hasingepuuzia hata kidogo yeye ni mtu mwelevu na muona mbali na amewahi kukaa Tanzania hana remnant ya colonial mentality kama ya huyu mjinga - yeye akili zake anafikili mpaka apate ushauri kutoka kwa mzungu hiyo ndio balabala. Sisemi mengi yetu macho.
 
  • Thanks
Reactions: FJM
hana habari kwamba dunia imekwisha badirika - jeshi lao linashindwa ku-cotain a rag tag Al-Shabaab, huu mwezi wangapi.

you are driven by emotions mate, relax....KDF has shaped somalia and it took her 2-3 days to clear afmadhow. Compare what it took amison Uganda to capture Mogadishu. Uganda acknowlegdes KDFs weight in somali and they wish they had her on her side during capturing of Afgoye. KDF werent contained.....take a moment to rest your frustrations. I would want to give a deep insight but with such negative energy and hour of posting i beg to hold ma two cents. Again dont misquote DELTA4, routinely used idioms...mayb the tone was harsh but he gives a clearer pic of KDF and engagement patterns, objectives and can follow that with time frames. Dont soil warriors fighting for Kenya and whom are doing well than expected. DELTA4: call sign eagle...artillery units on standby, engaging soon. Welcome to Tanzania forums, ''the perceived intellectual intercourse'' doesnt last courtesy of a cadre of tanzanians..stubborn types. Ask matsuo, kshaka, moyo and long faded faces such as smatta, they all had a lust for objective exchanges. Affirmative; theres a voodoo among certain Tanzanians whenever Kenya is mentioned.
 
Hivi hawa Wakenya wana akili kweli? kwenda kuwachokoza Wasomali? hata jeshi lao limejaa wasomali, wanafikiri wale watakubali wakawaue ndugu zao?

Ni kama Aden Rage awe mkuu wa kikosi halafu ukamwabie haya kawanyuke Somalia.

Halafu hawakumbuki US walivyotoka mkuku baada ya askari wao kukashifiwa "live". Wakenya ndio wanajifanya wana nguvu kuliko US?

Kitu ambacho hawakielewi na nnashangaa kwani kuna Wasomali wengi sana Kenya, ni kuwa Msomali agombane na Msomali mwenzake wa kabila au ukoo tofauti ni sawa kabisa, lakini anapoingia mtu mwingine asiye Msomali kujidai kumpiga hata adui yake, wanaacha ugomvi wao wanakushughulikia wewe wakiwa kitu kimoja, wakimaliza, wanaanza tena ugomvi wao. Hapo sasa!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom