Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,189
- 79,420
Last edited by a moderator:
Wapige tu, tena to the ground.
Si wakenya walijifanya vimbele mbele kwenda kuwachokoza huko somalia?
Be careful dude.
Wapige tu, tena to the ground.
Si wakenya walijifanya vimbele mbele kwenda kuwachokoza huko somalia?
kwa nini uanzishe ugomvi wakati unakaa kwenye nyumba ya vioo.
Kwa nini ukapigane vita isiyokuhusu?
Wakenya walijifanya vimbele mbele kuwashambulia al shaabab, sasa kipo wapi? Mwishowe wanakimbilia AMISOM, why?
Hizo propaganda za al shaabab, al queda ni za US na UK wake, ingewapasa wao ndio wangeenda somalia, kwani hiyo ni vita yao na si ya wakenya. Sasa kwa kuwa mmeingia mkenge na kichwa kichwa, subirini kupokea kichapo. Kuna msemo moja mnatakiwa kujifunza, 'pilipili usiyoila, inakuwashia nini'
so is MD25 implying that Kenyans should have simply done nothing??? unless it's the Tanzanian politicians way of talking bila action(as some of you say kwa jukwaa la siasa) that you wanted Kenya to do?
Mmekuwa wepesi wa kusahau, kiasi kwamba hamkumbuki al-Qaeda/al-Shabaab waliporipua Nairobi na Dar es Salaam.kwa nini uanzishe ugomvi wakati unakaa kwenye nyumba ya vioo.
Kwa nini ukapigane vita isiyokuhusu?
Mmekuwa wepesi wa kusahau, kiasi kwamba hamkumbuki al-Qaeda/al-Shabaab waliporipua Nairobi na Dar es Salaam.
Mimi sio Mkenya, lakini ninaunga mkono juhudi za KDF za kupambana na wauawaji hawa wanaoua watu wasio hatia kwa jina la dini. Ni kukomeshwa kwa al-Shabaab tu ndio eneo lote la Pembe ya Afrika - kutoka Djibouti hadi Tanzania - ndipo amani itapatikana.
Huo ni ujinga ! Kasumba na nyimbo za wakubwa, mnapokea bila kufikiri ! Watuareg (Mali) wamepigana kwa 52yrs leo mamepata ushindi tayari wanaitwa al qaida !I look into this the coming East African Community war against terrorism. It won't be Kenyans only, but this whole region. Let us be careful on it.