Ebana hili ishio la Al-Shaabab kuwepo kwenye Maandamano tu na Sio kwenye makutaniko ya Watu Wengi haswa Uwanja wa Taifa Mkuu wetu wa Police Mbona Kimya
Binafsi sikutegemea kuwa mkesha wa miaka 50 ya uhuru utapita salama bila al shabaab kufanya tukio,hapa ninajiuliza hivi ile marufuku toka polisi ilikusudiwa kuepusha madhara au kuzuia waliokuwa mwiba kwa serikali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.