DAR si LAMU
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 2,928
- 544
...Labda tujiulize, je, wapiganaji wa kiislamu wenye siasa au mtazamo mkali wenye ujuha, wanafikiria faida katika maana ya fedha? au wanaamini kuwa wanapigana vita takatifu au wanapigania maana takatifu?Maswali mazuri kabisa, unafikiri yawezekana wanatumia fedha zote hizo bila kuwa na faida maana itakuwa ni biashara uchwara hii. Baada ya gharama zote hizo za msingi (kwa maoni yao) kinachobakia wanafanya nacho nini na hata kama ni chakula wananunua wapi, magari yanaingiaje. Hapa kwa kweli unaingiza elements muhimu sana. Thanks
...Kama wanafikiria faida katika minajili ya fedha, basi "cause" yao haina maana na wao ni watafutaji tu, kama wafanyabiashara au majangili wengine, ila, wanafanya kimafia zaidi kabisa na imani ya uislamu imechukuliwa mateka.