Manumbu
JF-Expert Member
- Oct 28, 2009
- 1,746
- 1,282
nifahamuvyo mimi hao waitwao 'magaidi' huwa na strategy moja tu kwenye mapambano yao. kuhakikisha wanafanya shambulio ambalo litasababisha coverage kubwa. coverage ndo inayowatangaza na kufanikisha malengo yao. sishangazwi hata kidogo kama al shabab wataamua kumfuata huyu bibi. kwao sio kumuua huyo bibi la hasha. kwao ni publicity itakayofuata baada ya kumuua ndo inayo-matter. bibi wa watu wala hawana shida nae lakin ili agenda yao (iwe hasira, revenge au chochote) kiwafikie maadui na marafiki (sympethisers) zao anaweza kuwa target nzuri sana.