Nimesikia kutoka kipindi cha maswali na majibu cha bunge kuwa shule za al-Muntazir inayomilikiwa na WASHIA ina upendeleo kwa wanafunzi wenye imani hiyo.. Hii imekaaje?!
Ni sawa akitaka hao wa dhehebu lake nao wajenge shule siyo kulia lia. Sisi Washia tunataka serikali iturudishie shule zetu kama Zanaki, Azania, Jangwani n.k......wao waendelee kucheza bao tu wasubiri kuja kusoma kwenye shule zetu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.