Bukyanagandi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 11,061
- 16,743
Naona kichekesho, huyo Gadaff unaye mpigia debe hapa kwa kilaumu Aljazeera TV kwamba hiko biased si kweli. Je ulikuwa unajuwa kwamba huyu jamaa Gadaffi ambaye alikuwa anajitia kuwa teteawanyonge na kusaidia wapigania uhuru alikuwa akishirikiana na CIA na MI5 kwa kuwapatia magereza ya kuwatesea wasilaamu wenzake kutoka Pakistani, Afughanistana na kwingineko.
Leo hii mnamuona ni mtu wa maana!
Leo hii mnamuona ni mtu wa maana!