1) Hapa si wakija ma Investor wanaitwa mafisadi.
2) Maandamano ya kila siku ya chadema unafikiri yana tija? kusudio lake si kuvunja nguvu za Kikwete alizozitoa kutafuta ma investor. Unafikiri wenye mitaji yao ya uhakika watakuja hapa, kila kukicha maandamano?
thats bull shit.............think big