Al and Tipper Gore, married 40 years, to separate

slide_7208_95276_large.jpg


Al Gore, his wife Tipper and Hillary Clinton, wave as they arrive at Jan Smuts airport, near Johannesburg, 09 May 1994.


slide_7208_95279_large.jpg


Al Gore and his wife Tipper wave to members of the vice president's staff, 15 June 1999, at Andrews Air Force Base in Maryland. The crowd came to see them off on their trip to Tennessee where Gore announced his presidential candidacy


slide_7208_95277_large.jpg


Al Gore dances with wife Tipper during an inaugural ball in Washington DC after the inauguration of Bill Clinton as President in 1993.


slide_7208_95220_large.jpg

 
Masa,

kem acha uoga weye.Kama ushayavulia nguo hebu yakoge hayo maji....:rofl:

Mkubwa hao jamaa akina Gore wanakila kitu walichohitaji, sasa mimi nikiweka na extended family na umasikini ndoa si itakuwa ni jehanamu!
 
Mkubwa hao jamaa akina Gore wanakila kitu walichohitaji, sasa mimi nikiweka na extended family na umasikini ndoa si itakuwa ni jehanamu!
Samtaimu katika huo umaskini wetu na hizo extended family ndipo tunapopata msimamo.
Hao wenye 'evrisingi' mbona safari imewashinda?

Weye endelea na kutafuta na ukishapata nialike maana najua Zenji hapatoshi kwa harusi...Au sio?
 
Kama umeweza kuvumilia maisha ya ndoa kwa miaka 40 ni vema ungemalizia kipindi kifupi kilichobaki! Haiingii akilini kuwa tumevumiliana kipindi chote hicho halafu tuachane. Kwa faida ya nani? Kabla hujaamua kuachana fumba macho fikiria jamiii inayokuzunguka, achilia mbali watoto, wajukuu, marafiki etc. Tujaribu kushinda vishawishi na mawazo ya talaka. Hata siku moja kama utakosana na mwenzako chunga sana neno talaka. Si kitu chema hata kidogo. Siku zote tujaribu kuyamaliza matatizo yetu madogo madogo kila siku linapotokea, usije ukasema hili dogo hebu nisubiri kubwa kesho. Kila issue ndogo au kubwa ambayo unafikiri imemuumiza mwenzako neno msamaha liwe ni msamiati wa kudumu ndani ya kinywa chako.

Hii ni changamoto kwa wenye ndoa za muda mrefu. Tusibweteke eti tumeshinda, always remember the devil is at work detroying nuclear families asthey are the base for everything, to mention a few leadership, bonded families, peace and harmony, etc ambavyo ni msingi wa viongozi bora wajao kifamilia na kitaifa. Ninamuomba sana Mungu aniwezeshe kuvumiliana katika ndoa yangu hadi kifo kitakapotutenganisha. I have invested in it for years now, I have to maintain and keep it by all means. Sitaki kabisa aibu ya kuachana. Unafahamu unapoenda kuchumbia au kuchumbiwa halafu mchumba wako anakuwa na historia iliyopinda kuhusu maisha ya familia inaleta dosari sana. Huwa tunaamini kuwa familia bora inatokana na familia bora. Amini hivyo na tekeleza. Poor Gore and Tipper, kids and grands!
 
Marriage is the most difficult institution to predict..its not always "WHAT U SEE IS WHAT YOU GET" THING!

Mlio ndani mwataka kutoka..mlio nje mwataka kuingia! KAZI KWENU... THE DECISION TO OPT IN OR OPT OUT IS URS SQUARELY BROTHER/SISTER.

LAKINI HEBU FIKIRIA HIVI: Umeoa/ umeolewa miaka kadhaa baada ya kupendana sana na mwenzio. Mmekaa miaka kadhaa ya shida, raha na kuvumiliana kwa mengi. Siku moja mnaachana....

Unakutana na mtu mwingine..mnapenda sana.. na kuona hakuna tena kama huyo uliyekutana naye! Mnaamua kuoana!..same thing happens..mnaacha........ itakuwa endless process... KIPI BORA?

Dada hapa umeongea!, thanks for this!
 
Kweli kabisa dada. Lakini kwa kweli mimi ndio maana nasema kila siku maisha ya ndoa siyawezi. I'm keeping my ass out of it. Been there done that and want none of it again.fic It's too much to go through.
!

C'mooooooon cousin!, usitukatishe tamaa hivo bwana, wengine tayari tushaanza kuogopa sasa ukisema hivi ndo kabisaaaaa!
 
Lakini hii imeshtua, uongo si kazi. They got married so young, grew and mature together and now they go on their separate ways??!!!

unfreaking believable!
 
Sasa hebu subiri bwana!!! Mara nyingi ukiona couples wan show up ujue ndani kunafuka moshi (Kuna kitu kimejificha).
 
Kama umeweza kuvumilia maisha ya ndoa kwa miaka 40 ni vema ungemalizia kipindi kifupi kilichobaki! Haiingii akilini kuwa tumevumiliana kipindi chote hicho halafu tuachane. Kwa faida ya nani? Kabla hujaamua kuachana fumba macho fikiria jamiii inayokuzunguka, achilia mbali watoto, wajukuu, marafiki etc. Tujaribu kushinda vishawishi na mawazo ya talaka. Hata siku moja kama utakosana na mwenzako chunga sana neno talaka. Si kitu chema hata kidogo. Siku zote tujaribu kuyamaliza matatizo yetu madogo madogo kila siku linapotokea, usije ukasema hili dogo hebu nisubiri kubwa kesho. Kila issue ndogo au kubwa ambayo unafikiri imemuumiza mwenzako neno msamaha liwe ni msamiati wa kudumu ndani ya kinywa chako.


yaani unataka mtu akae kwenye pain and discomfirt just kwa sababu tu "atizame waliomzunguka"

hakuna sababu hiyo hata kidogo, kama hujaridhika na ndoa yako...............una haki ya ku get out bila ya kujali watu wa pembeni wanafikiria nini ...............at the end of the day wewe ndio unaeteseka.
 
Are these people, old as they are, intending to resign to their fate of living single for the rest of their lives? Au waweza kuta mtu ana mpango wa kuopoa kifaa kingine mida hii ya majeruhi kwa ajili ya kumalizia "dakika" zilizobaki...

In any case, this sets a very bad precedent for both aspiring and married couples and casts serious doubts over the whole institution of marriage...:angry:
 
Chakubanga aliwahi kuulizwa na Polo hii ndoa unaweza kuitafsiri vipi? Alisema hivi ndoa ni kama ngome alio nje anataka kuingia ndani na alio ndani anataka kutoka,nafikiri ni kweli:rofl:
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom