Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,550
- 6,062
Quote:
Originally Posted by Bongolander
Du hiyo kali, kuna nini huko Mbeya? Ajabu ni kuwa nasikia Mbeya ni mkoa wenye makanisa mengi kabisa Tanzania, na ni mkoa wenye matukio makubwa kabisa ya kutisha, wanaJF wa Mbeya mtueleze kidogo kulikoni huko.
Quote:
Originally Posted by Mtanzania
Bongolander,
Unaulaumu mkoa wote kwa makosa ya wapumbavu wachache? Inatakiwa watu kama hao mkong'oto wa nguvu utembee. Hayo yote ni matokeo ya ujinga na siasa mbovu za kushindwa kuwaendeleza watu wetu.
Mie nikaandika:-
Unaona sasa haya mambo? Wametajwa Watu wa Mbeya. Hilo kweli tusi kwa mkoa mzima. Kuna watu wengine na dini zao au sehemu watokapo zingelikuwa zimetajwa basi ungelisikia "uombe msamaha..." Ataacha yote yaliyoandikwa na kushupalia kipointi kidogo tu au kitu ambacho hata si muhimu katika huo ujumbe. Nashukuru Mtanzania, pamoja na kuseme "usilaumu mkoa mzima", bado kaendelea na yeye kulaani kitendo hicho na hivyo kutoibadili hii habari. Hapa wangelikuwa wenyewe basi saa hizi ungelisikia "sisi Wamoravian wa Mbeya inabidi utuombe msamaha....."
Naungana na mie kulaani huu ushamba. Inabidi kweli hawa watu waende jela na kupigwa viboko 30 kila mwezi kwa miaka sawa na umri wa mtu waliyemchuna ngozi ukitoa kwa 100. Akiwa mtoto ndivyo miaka inavyozidi kuwa 100.
Chinkala,
Ukisoma tena hiyo habari juu utajua kwa nini nilisema hayo maneno. Ila mwenzangu naona umedandika hii habari bila kuisoma yote na wakati huo unalaani kuwa mie sikuona tatizo. Heeee, nyani haoni siyo? Mie niliposoma ujumbe na kukuta kumbe ndiyo walikuwa wamepanga kwenda kufanya UCHUNAJI, nikaona hii habari FEKI. Niliamua tu kuandka baada ya kukuta mtu kashambulia mkoa na Mbeya na Mtanzania kajibu. Ila hakujibu na kubadili kabisa topic. Kama ukiangalia aliendelea na hii habari bila ya kuanza kulalama ohh, sisi wa Mbeyaaaaaa......
Sasa watu wanaoharibu hizi topic naona na wewe ni mmoja wapo. Tunaongelea Uchunaji wa ngozi na watu kusema MKOA WA MBEYA. Wewe umekuja hapa na kuanza HONGERA MAMA kwa kufikisha post 2k kwa miezi 7. Mara ohh, mama nakuhusudu. Hivi kuna uhusiano gani kati ya MAMA NAKUHUSUDU au POST 2k na hicho kichwa cha habari na habari yenyewe ingawa na ya ovyo.
Unanikumbusha mtu aliyeulizwa "Ubongo ni nini?" Ahh Ubongo ni kama HD kwenye computer. Hii huwa inawekwa kwenye body ya computer. Ndani ya computer kuna motherbody, RAM, CD rom, Graphic card na pembeni kuna Processor na juu yake kuna feni ........... "Ehhhh, comedown, jibu UBONGO NININI."
NB:- Acha kutafuta wanawake kwenye Mitandao. Utaja pata kaka poa kama mwenzio Ronaldho yaliyomkuta Brazil. Ukikwama kabisa, njoo Sikonge nikupatie mmoja.....
Originally Posted by Bongolander
Du hiyo kali, kuna nini huko Mbeya? Ajabu ni kuwa nasikia Mbeya ni mkoa wenye makanisa mengi kabisa Tanzania, na ni mkoa wenye matukio makubwa kabisa ya kutisha, wanaJF wa Mbeya mtueleze kidogo kulikoni huko.
Quote:
Originally Posted by Mtanzania
Bongolander,
Unaulaumu mkoa wote kwa makosa ya wapumbavu wachache? Inatakiwa watu kama hao mkong'oto wa nguvu utembee. Hayo yote ni matokeo ya ujinga na siasa mbovu za kushindwa kuwaendeleza watu wetu.
Mie nikaandika:-
Unaona sasa haya mambo? Wametajwa Watu wa Mbeya. Hilo kweli tusi kwa mkoa mzima. Kuna watu wengine na dini zao au sehemu watokapo zingelikuwa zimetajwa basi ungelisikia "uombe msamaha..." Ataacha yote yaliyoandikwa na kushupalia kipointi kidogo tu au kitu ambacho hata si muhimu katika huo ujumbe. Nashukuru Mtanzania, pamoja na kuseme "usilaumu mkoa mzima", bado kaendelea na yeye kulaani kitendo hicho na hivyo kutoibadili hii habari. Hapa wangelikuwa wenyewe basi saa hizi ungelisikia "sisi Wamoravian wa Mbeya inabidi utuombe msamaha....."
Naungana na mie kulaani huu ushamba. Inabidi kweli hawa watu waende jela na kupigwa viboko 30 kila mwezi kwa miaka sawa na umri wa mtu waliyemchuna ngozi ukitoa kwa 100. Akiwa mtoto ndivyo miaka inavyozidi kuwa 100.
Chinkala,
Ukisoma tena hiyo habari juu utajua kwa nini nilisema hayo maneno. Ila mwenzangu naona umedandika hii habari bila kuisoma yote na wakati huo unalaani kuwa mie sikuona tatizo. Heeee, nyani haoni siyo? Mie niliposoma ujumbe na kukuta kumbe ndiyo walikuwa wamepanga kwenda kufanya UCHUNAJI, nikaona hii habari FEKI. Niliamua tu kuandka baada ya kukuta mtu kashambulia mkoa na Mbeya na Mtanzania kajibu. Ila hakujibu na kubadili kabisa topic. Kama ukiangalia aliendelea na hii habari bila ya kuanza kulalama ohh, sisi wa Mbeyaaaaaa......
Sasa watu wanaoharibu hizi topic naona na wewe ni mmoja wapo. Tunaongelea Uchunaji wa ngozi na watu kusema MKOA WA MBEYA. Wewe umekuja hapa na kuanza HONGERA MAMA kwa kufikisha post 2k kwa miezi 7. Mara ohh, mama nakuhusudu. Hivi kuna uhusiano gani kati ya MAMA NAKUHUSUDU au POST 2k na hicho kichwa cha habari na habari yenyewe ingawa na ya ovyo.
Unanikumbusha mtu aliyeulizwa "Ubongo ni nini?" Ahh Ubongo ni kama HD kwenye computer. Hii huwa inawekwa kwenye body ya computer. Ndani ya computer kuna motherbody, RAM, CD rom, Graphic card na pembeni kuna Processor na juu yake kuna feni ........... "Ehhhh, comedown, jibu UBONGO NININI."
NB:- Acha kutafuta wanawake kwenye Mitandao. Utaja pata kaka poa kama mwenzio Ronaldho yaliyomkuta Brazil. Ukikwama kabisa, njoo Sikonge nikupatie mmoja.....