AKUDO VS Fm ACADEMIA

Kuna Beaf Gani Kwayus?hebu Tufafanulie .........kwa Undani Mi Nadhani Ni Biashara Pia
 
Hiiii haijatulia Kabisaa
Naona Kama Kuna Kisa kama si Visa
Naomba Kuwakilisha

Sio lazima kila memba aanzishe thread hapa, kama huwezi si uwe mchangiaji tu kama mimi? Unaomba kuwakilisha nini sasa? Nini haijatulia?
 
Unataka kujua BIFU lao???hapo ni wivu tu wa kibiashara tunajua wote ni wacongo sasa kuna ka wivu kabishara kila kundi linajisikia ni zaidi ya jingine sasa hapo ndo wivu unapokuja sasa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom