Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,539
- 11,442
Nlijua tu. Tayari vzibo vmefka vngapi?
Leo niko slow mbaya...ndo cha 9 sasa
Nlijua tu. Tayari vzibo vmefka vngapi?
Mambo JgZindu umedai anakuPM kwa minajili ya kutaka kukuweka dhambini.
Swali :
Yapo mengi yafanywayo na Mwana wa Adamu kumpeleka dhamini, ni lipi akutakalo huyo mtu hadi ufikie maamuzi haya?
Anakushawishi mkaibe?
Mkaue?
Mtete watu?
Muulize hajanimiss?
Leo niko slow mbaya...ndo cha 9 sasa
Nina wazimu hadi nimuulize? Nikimuuliza basi nitakuwa na matatizo ya akili.
Hahahahaa unaufahamu wimbo wa sifa za kijinga wa Mr Ebbo RIP?cku hzi umekuwa dhaifu. Yaan masaa matatu una vzibo tisa? Huo ni ulegelege
Hahahahaa unaufahamu wimbo wa sifa za kijinga wa Mr Ebbo RIP?
Mambo Jg
Wala hata sijawahi kuusikia...ndio kwanza nausikia kutoka kwako.
Duh mbona mnajibu tofauti leo?Eti ? Kwamba...
cacico amenibana siwezi kwenda hata chooni.Teh we umedaka msg ya mtei...
we njoo babylon