Zinduna
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 2,378
- 3,379
Kuna mtu hapa lazima nimsomee HALBADRI!
Na sijui kama ataumaliza mwaka huu, maana kazidi mno kuni-PM akitaka kunitia katika dhambi, kama alikuwa hajui, basi mie ni mtoto wa Sheikh Sayed Mabrouk Bin Mahmood Barghashish Burhan Tombya na ajue salama yake ili kuepuka dhoruba ni kuniomba radhi hadharani hapa hapa JF na sio kwa PM.
Nimemaliza na sitaki maswali.
Na sijui kama ataumaliza mwaka huu, maana kazidi mno kuni-PM akitaka kunitia katika dhambi, kama alikuwa hajui, basi mie ni mtoto wa Sheikh Sayed Mabrouk Bin Mahmood Barghashish Burhan Tombya na ajue salama yake ili kuepuka dhoruba ni kuniomba radhi hadharani hapa hapa JF na sio kwa PM.
Nimemaliza na sitaki maswali.