Ntambaswala
JF-Expert Member
- Dec 7, 2008
- 255
- 78
Inafaa akae chini tena atafute chanzo cha mtatizo yanaoikabili serikali yake na chama chake kwa sababu matatizo hayo hayapo katika umri wa mtu yeyote
Jamani na sisi hapa tumezidi kila siku tunalalamika kuhusu kina Kingunge & CO kuhusu umri wao, sasa leo JK anaahidi kuwatosa bado tunalamimika. Kwa hiyo tulitaka aseme mwakani kama nitashinda nitawaacha wazee wote kwenye cabinet maana uzee sio tatizo?
Mimi nadhani tunatakiwa kumsihi atekeleze jambo hilo aliloahidi maana hatuwezi kumlazimisha uteuzi uko mikononi mwake.
Bravo JK............. usinishau niko tayari kutumikia nchi yangu naahidi sitawaangusha watz