mitishamba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 697
- 111
- Thread starter
- #21
ebo...!sijui.........
ebo...!sijui.........
mabega kivipi tenaNusu wakati haina mabega?
Mimi naona zile castle lite ulizokuwa unazinywa zilihamisha mawazo yako kwa yule mama. Akili ikawaza visivyotakiwa kuwaziwa kwa muda ule. Ulitakiwa umwamkie shikamoo na kutomuangalia morphology yake.
we huoni ipo wapi hapo..!sasa mitego imetoka wapi hapo?
Tamaa yako ndo inakufanya uwe wima mpaka sasa...
ndo mkoa gani huoAngalia usijeitwa double ' T '
Kwa hiyo kupitia hayo mavazi aliyokuwa amevaa na maini uliyaona kabisa?hata ungalikuwa ni wewe lazima ungalipagawa, yaani si mchezo...kweli ng'ombe hazeeki maini.
hata ungalikuwa ni wewe lazima ungalipagawa, yaani si mchezo...kweli ng'ombe hazeeki maini.
Aku babu, nimebadilika sivai zile pedo tena. Siku hizi navaa kama hapo chini unavyoniona..Usinikimbie sasa!
Kama huyu ndio wewe Belinda na recall PM zangu zote. By ze way happy new year
Nimekaa sehemu najaribu kuifukuza wikiendi. Mara anatokea mama mmoja mtu mzima hivi takribani wa miaka 50. Japo amekwenda age lakini anaonekana amenona pengine kutokana na matunzo. Akakaa karibu ya meza niliyokaa mimi.
mavazi sasa...!
Amevaa kipedo cheupe chepesi...basi nguo ya ndani yote ipo nje...na jinsi alivyoumbika yaani ni balaa tupu.
Yaani nililewa japo nilikuwa ndo kwanza naanza na kabia ka kwanza.
Yaani nikimkumbuka yule mama, nabaki wima.
Waoh! You are beautiful, Belinda darling...oaAku babu, nimebadilika sivai zile pedo tena. Siku hizi navaa kama hapo chini unavyoniona..Usinikimbie sasa!
ndo manakeKwa hiyo kupitia hayo mavazi aliyokuwa amevaa na maini uliyaona kabisa?
Wakware utawajua tu, mitishamba kwani na wewe m.kwere?
sipo katika umri huoUkaenda kumalizia kwa kupiga "punyeto"...balaaa