Akina mama siku hizi....mitego tupu!

Mimi naona zile castle lite ulizokuwa unazinywa zilihamisha mawazo yako kwa yule mama. Akili ikawaza visivyotakiwa kuwaziwa kwa muda ule. Ulitakiwa umwamkie shikamoo na kutomuangalia morphology yake.



Sinywagi vitu vyenye majina Lite au vinavyosadikika kuwa ni Lite.
Si kwamba nilihamishia mawazo kwake bali yeye ndo alinihamisha.....tatizo nyie hamjamuona ndo maana hamjui ilikuwaje.




Yanapata upepo yakhe..unapenda harufu yake hata kama nimepaka limao?? heeee[/QUOTE]
Of koz yes, tena yakiwa natural odour.
 
Aku babu, nimebadilika sivai zile pedo tena. Siku hizi navaa kama hapo chini unavyoniona..Usinikimbie sasa!
african%20women%20elegant%20dresses.jpg

Kama huyu ndio wewe Belinda na recall PM zangu zote. By ze way happy new year
 
Kama huyu ndio wewe Belinda na recall PM zangu zote. By ze way happy new year

Heee! ulipotelea wapi Nguli,happy new 2012 nawe pia. Naamini umeuanza vyema kabisa! Huyo ndiyo Belinda mwingine photocopy:))
 
Nimekaa sehemu najaribu kuifukuza wikiendi. Mara anatokea mama mmoja mtu mzima hivi takribani wa miaka 50. Japo amekwenda age lakini anaonekana amenona pengine kutokana na matunzo. Akakaa karibu ya meza niliyokaa mimi.

mavazi sasa...!
Amevaa kipedo cheupe chepesi...basi nguo ya ndani yote ipo nje...na jinsi alivyoumbika yaani ni balaa tupu.
Yaani nililewa japo nilikuwa ndo kwanza naanza na kabia ka kwanza.

Yaani nikimkumbuka yule mama, nabaki wima.

Ukaenda kumalizia kwa kupiga "punyeto"...balaaa
 
Wakware utawajua tu, mitishamba kwani na wewe m.kwere?

msinihukumu jamani, yule mama ni balaa, watu wote walibaki wameduwaa.
Jana jioni nilitia timu pale, nimeambiwa huwa akosekani, tena jana tulikosana kidogo tu...wanadai jana ndo alikuwa ndembendeme!
Kuanzia leo nitakua sibanduki kiwanja kile hadi nionje ladha ya lile tunda.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom