LD
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 3,014
- 574
Ni kweli wakinamama sometimes hawapendani lakini hili la daladala nakataa, utakuta mtu anaona kabisa gari imejaa lakini anapanda hivyo hivyo na mtoto wake/watoto wake. Kunyanyuka siwezi kwani na mimi nakua nimechoka tena nimechoka hasa cha kufanya naweza mpokea mtoto kama ni msafi maana wengine sio wasafi kabisa anapanda na mtoto ananuka mikojo + mchafu hadi kero huyu atanisamehe mwingine anazaa kama anatenda unakuta wa kwanza anamiaka 3, wapili 2, watatu kambeba mgongoni na anapanda daladala lililojaa aku mwenzangu kuna mambo mengine mwatuonea wakinamama kwani wanajitakia wenyewe
Daa yani, kwa hili jamani ni hata ukiona kwene daladala watu hawakwambii mlete mtoto tukusaidie, usilalamike.
Imagine ndo asubuhi umejipandia zako daladala unaenda kwene pilika pilika, mtu mtoto, mchafu, mikojo, kanga aliofunikwa nayo daaaa,
Jamani naomba msamaha tu.
Lakini kama mtoto ni msafi, wala sekunde haipiti, utasikia MLETE MTOTO TUKUSAIDIE.