Nimekuwa nikisifiwa na akina dada eti nina lips nzuri, na wengine huwa wanataka just to make up with me, huwa ninashangaa hivi ni kweli au wanakuwa wamenizimia? Kwa upande wetu sisi wanaume ni kweli lips za akina dada huwa zinatupagawisha sometimes. Je akina dada's ni kweli huwa mnazimikia lips zetu pia?
Angalizo...... Kwa wanaume sio lazima kuchangia maana hamuna idea yoyote na lips zetu kwa hio muipotezee hii post, najua mtaishia kunirushia makombora ila ndo hivo tena mwenzenu napendwa.
Kwanini wanaume tuna wivu hivi? Hamtaki kusikia mwenzio anasifiwa? Eti shoga? Kazi kweli kweli
mwanaume kifua siyo lips bwana kilichojengeka vizuri..siyo too much!!
Mkuu siyo kweli kuwa wanaume tuna wivu na hatupendi wenzetu wasifiwe, watu watakusifia kutokana na jinsi wewe mwenyewe unavyoji-express kwao. Huyo aliyekuita shoga pia amekusifia ila tofauti ni kwamba wewe ulitaka akupe sifa ambayo unaihitaji kutokana na mtazamo wako na sio kutokana na maelezo yako, kwa maelezo uliyoyaweka hiyo ndio sifa unayostahili kwa mtazamo wa mtoaji wa sifa.
Naona ulianza kwa kutaka wadada pekee ndo wachangie lakini tofauti na matarajio yako, wengi wao wanaenda tofauti na ulivyokuwa unataka wewe wakupambe.
Nadhani hapa unamaanisha kama cha Mzee Ole!!.....hapa kwa wale wasomaji wa jarida la sani miaka ya 80's na 90's watakuwa wamenielewa vyema.mwanaume kifua siyo lips bwana kilichojengeka vizuri..siyo too much!!
Lips nene za denda, zanipagawisha mbayaa.
hakika we ni wakupumuliwa, mwanaume hasifiwi lips bali cashflow. Kwa mfano mimi ni jitu jeusi, chogo kuuubwaaa, mfupi, lakini daily najimegea tumiss tena first class au we unazungumzia vitoto vya jk