Akina dada's, eti huwa mnapenda lips zetu?

Nakumbuka kuna dada mmoja aliniambia napenda namna unavyochapa kazi,sasa haya lips kwa mwanaume mh!
 
Nimekuwa nikisifiwa na akina dada eti nina lips nzuri, na wengine huwa wanataka just to make up with me, huwa ninashangaa hivi ni kweli au wanakuwa wamenizimia? Kwa upande wetu sisi wanaume ni kweli lips za akina dada huwa zinatupagawisha sometimes. Je akina dada's ni kweli huwa mnazimikia lips zetu pia?
Angalizo...... Kwa wanaume sio lazima kuchangia maana hamuna idea yoyote na lips zetu kwa hio muipotezee hii post, najua mtaishia kunirushia makombora ila ndo hivo tena mwenzenu napendwa.

Unaleta uzi then unaanza kuogoga kivuli chako mwenyewe! Nonsense!
 
Kwanini wanaume tuna wivu hivi? Hamtaki kusikia mwenzio anasifiwa? Eti shoga? Kazi kweli kweli


Mkuu siyo kweli kuwa wanaume tuna wivu na hatupendi wenzetu wasifiwe, watu watakusifia kutokana na jinsi wewe mwenyewe unavyoji-express kwao. Huyo aliyekuita shoga pia amekusifia ila tofauti ni kwamba wewe ulitaka akupe sifa ambayo unaihitaji kutokana na mtazamo wako na sio kutokana na maelezo yako, kwa maelezo uliyoyaweka hiyo ndio sifa unayostahili kwa mtazamo wa mtoaji wa sifa.
Naona ulianza kwa kutaka wadada pekee ndo wachangie lakini tofauti na matarajio yako, wengi wao wanaenda tofauti na ulivyokuwa unataka wewe wakupambe.
 
Ungedema kwa kifupi tu, asiwe na capital Y

huwa wanakosa balansi hadi umuwekee miti kama iwekwayo kwenye migomba isianguke, mfano Great Kali.

mwanaume kifua siyo lips bwana kilichojengeka vizuri..siyo too much!!
 
Thanks for ur analysis
Mkuu siyo kweli kuwa wanaume tuna wivu na hatupendi wenzetu wasifiwe, watu watakusifia kutokana na jinsi wewe mwenyewe unavyoji-express kwao. Huyo aliyekuita shoga pia amekusifia ila tofauti ni kwamba wewe ulitaka akupe sifa ambayo unaihitaji kutokana na mtazamo wako na sio kutokana na maelezo yako, kwa maelezo uliyoyaweka hiyo ndio sifa unayostahili kwa mtazamo wa mtoaji wa sifa.
Naona ulianza kwa kutaka wadada pekee ndo wachangie lakini tofauti na matarajio yako, wengi wao wanaenda tofauti na ulivyokuwa unataka wewe wakupambe.
 
ah ah kijana lips nzuri zawafaa watoto wa kike katika kypiga tarumbeta...mtoto wa kiume jisifie pesa na mwili uliojengeka hayo mengine masharouha..o ndo wanakaa chini na kusifiana
 
nsivyowapenda wanaume wanaojiparapar, kha, mambo kugombania lip shine na lip balm na anayataka, mie nataka mwaaume siyo mtoto wa kiume lol
 
hakika we ni wakupumuliwa, mwanaume hasifiwi lips bali cashflow. Kwa mfano mimi ni jitu jeusi, chogo kuuubwaaa, mfupi, lakini daily najimegea tumiss tena first class au we unazungumzia vitoto vya jk

:biggrin1:
 
Back
Top Bottom