Darlingtone
JF-Expert Member
- Jan 9, 2011
- 390
- 146
leta ushahidi
Twende wote pale, mi ntakuwa nasuka afu we unakaa pembeni.... nitajifanya kama nageuka hivi kisha namfunua uone...:drama:
leta ushahidi
Twende wote pale, mi ntakuwa nasuka afu we unakaa pembeni.... nitajifanya kama nageuka hivi kisha namfunua uone...:drama:
Kabla wamasai hawajaanza kuwa wasusi, hawa dada zetu walikua bora wasimame kwenye daladala kuliko kukaa siti moja na mmasai eti walikua wanasema wamasai wanatoa harufu mbaya, sasa leo hii unamkuta mdada amebananishwa kichwa chake katikati ya mapaja ya mmasai. Au siku izi hawatoi harufu mbaya kama ilivyokua awali???
Na yale mafuta yao wanayo paka nayo issue ya kipekee
Hehehe nini kilicho kusibu mpaka ukajuta?
Kabla wamasai hawajaanza kuwa wasusi, hawa dada zetu walikua bora wasimame kwenye daladala kuliko kukaa siti moja na mmasai eti walikua wanasema wamasai wanatoa harufu mbaya, sasa leo hii unamkuta mdada amebananishwa kichwa chake katikati ya mapaja ya mmasai. Au siku izi hawatoi harufu mbaya kama ilivyokua awali???
Twende wote pale, mi ntakuwa nasuka afu we unakaa pembeni.... nitajifanya kama nageuka hivi kisha namfunua uone...:drama:
Duh.. Hii itakuwa chabo ya mwaka mydia.