Akina dada kuweni makini na wamasai wanapo wasuka

Kabla wamasai hawajaanza kuwa wasusi, hawa dada zetu walikua bora wasimame kwenye daladala kuliko kukaa siti moja na mmasai eti walikua wanasema wamasai wanatoa harufu mbaya, sasa leo hii unamkuta mdada amebananishwa kichwa chake katikati ya mapaja ya mmasai. Au siku izi hawatoi harufu mbaya kama ilivyokua awali???

Siku hizi wanaoga, si wanajua watakosa biziness
 
Kabla wamasai hawajaanza kuwa wasusi, hawa dada zetu walikua bora wasimame kwenye daladala kuliko kukaa siti moja na mmasai eti walikua wanasema wamasai wanatoa harufu mbaya, sasa leo hii unamkuta mdada amebananishwa kichwa chake katikati ya mapaja ya mmasai. Au siku izi hawatoi harufu mbaya kama ilivyokua awali???

Yalikua Mashauzi tu kaka!
 
Back
Top Bottom