Akimtimua mkewe atakuwa na makosa?

Mangimeli

JF-Expert Member
Sep 15, 2011
1,151
286
Jamaa amefunga ndoa,ndoa ina miezi kadhaa hata mwaka bado ikafika kipindi wife akapata ujauzito.
Alipoenda kuanza clinic,vipimo vikaonesha ana maambukizi. Clinic wakamuambia aje na mumewe wapime wote, mume akapima hana hayo matatizo yupo salama.

Je jamaa afanyeje, ndoa na iwe basi au? Na pia mke ndo jeuri, kiburi, dharau na kejeli zimezidi mno mpaka nyumba inakuwa siyo sehemu ya kuishi mshikaji tena.

Je mshikaji akimtimua huyo wife atakuwa kakosea?
 
Ni vizuri kujua kwanza ni ndoa ya sina gani waliokuwa wamefunga hapo awali
 
Jamani tuacheni kudanganyana, Mimi ni mkristo na hakuna nikifanyacho pasipo na Imani ya Mungu. Namuamini sana Mungu.

Mangimeli nahisi tatizo ni lako. Usiogope! Kwanza pole sana! Hivi ndugu zangu pamoja na ndoa zetu za kikristo za kula kiapo cha kufa na kuzikana, hivi kweli kuna mtu anapenda karaha?

Mwanamke jeuri,kiburi,fitina ni adui wa maendleo ndani ya nyumba. Mangimeli Mimi nlifukuzia mbali mwanamke nliezaa nae watoto wawili kisa upuuzi huo na tena nlikua na ndoa nae ya kikristo. Na hicho kiburi kumbe alikuaakikipata kwa hawa sub-husbands.

Halaf ndugu zangu wanaume asiwadanganye MTU, mwanamke akishaanza kuchit kuacha tabia hyo ni ngumu sana!

Ingekua ni issue ya yy kua na virusi pekee ningekushauri tofauti. Ila kwa kua umejazia na hizo sifa nyingine, basi ushauri wangu Mimi ni PIGAAAA CHINI...
 
Jamani tuacheni kudanganyana, Mimi ni mkristo na hakuna nikifanyacho pasipo na Imani ya Mungu. Namuamini sana Mungu.

Mangimeli nahisi tatizo ni lako. Usiogope! Kwanza pole sana! Hivi ndugu zangu pamoja na ndoa zetu za kikristo za kula kiapo cha kufa na kuzikana, hivi kweli kuna mtu anapenda karaha?

Mwanamke jeuri,kiburi,fitina ni adui wa maendleo ndani ya nyumba. Mangimeli Mimi nlifukuzia mbali mwanamke nliezaa nae watoto wawili kisa upuuzi huo na tena nlikua na ndoa nae ya kikristo. Na hicho kiburi kumbe alikuaakikipata kwa hawa sub-husbands.

Halaf ndugu zangu wanaume asiwadanganye MTU, mwanamke akishaanza kuchit kuacha tabia hyo ni ngumu sana!

Ingekua ni issue ya yy kua na virusi pekee ningekushauri tofauti. Ila kwa kua umejazia na hizo sifa nyingine, basi ushauri wangu Mimi ni PIGAAAA CHINI...
mi nashangaa sana wanaume wanaowadhalilisha wanaume wenzao wakiwafumania..... mwanamke akishatoka nje ya ndoa hapo hamna ndoa tena huyo ameshakuchoka solution ni kumpiga chini tu...
 
Yaani inafikia pahala unafika wakati wa kurud home unaanza kunyong'onyea. Tabu yote ya nini bwana, tupa kule
piga chini huyo...maisha yenyewe mafupi haya halafu mtu anakusumbua sumbua....
 
Tulia wewe kapime tena baada ya miezi mitatu usije kuta ni keria,
Ykikuta haunao basi piga chiniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Asimuache...si walishakula kiapo,waende kwa washauri nasaha ili wapate ushauri ulio bora. Awe karibu na Mkewe ndo la muhimu hilo.
 
walifunga ndoa ya namna gani? kama ni Wakristo hamna talaka!
nani alikwambia ndoa ya kikristo haivunjiki brother......kuna mtu aliumbwa kuishi akiteseka milele? kanisa au msikiti ni wakala serikali, na ndoa inavunjwa na serikali.....acha fikra dhoofu...
 
mke ndo jeuri, kiburi, dharau na kejeli zimezidi mno mpaka nyumba inakuwa siyo sehemu ya kuishi mshikaji tena.
wakati wanaoana hakujua n jeuri au
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom