Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,844
...baada ya miaka kadhaa ughaibuni na mkewe mkubwa, mshkaji alikwenda kuoa bongo kinyemela bila mkewe kujua.
Ili kuuziba nyufa, mheshimiwa aliamua kufa na kupona, iwe isiwe bi mdogo huyo, (ambaye tayari weshajaaliwa kachanga kamoja), naye aje kuishi ughaibuni.
...kimbembe kikabakia kwenye maombi ya Viza...
Wenye nchi yao hawakukubali mpaka ithibitike mtoto kweli ni halali ya huyo baba.
Majuzi majibu ya DNA yametoka, mtoto sio wa huyo baba.
Mbaya zaidi, wenye nchi yao wamempa Viza Huyo bi mdogo aje amjoin mheshimiwa ughaibuni, ...bila hicho kichanga!
...Namsikitikia jamaa hela alizotumia kuanzia kwenye kulea mimba, gharama za labour, kulea kichanga, maombi ya viza, gharama za solicitors, gharama za maombi ya settlement viza, (sasa ni tshs 1m/= na ushee),... na hicho kipigo kitakatifu...
Yaani sijui nianzie wapi kumpa ushauri!
Ili kuuziba nyufa, mheshimiwa aliamua kufa na kupona, iwe isiwe bi mdogo huyo, (ambaye tayari weshajaaliwa kachanga kamoja), naye aje kuishi ughaibuni.
...kimbembe kikabakia kwenye maombi ya Viza...
Wenye nchi yao hawakukubali mpaka ithibitike mtoto kweli ni halali ya huyo baba.
Majuzi majibu ya DNA yametoka, mtoto sio wa huyo baba.
Mbaya zaidi, wenye nchi yao wamempa Viza Huyo bi mdogo aje amjoin mheshimiwa ughaibuni, ...bila hicho kichanga!
...Namsikitikia jamaa hela alizotumia kuanzia kwenye kulea mimba, gharama za labour, kulea kichanga, maombi ya viza, gharama za solicitors, gharama za maombi ya settlement viza, (sasa ni tshs 1m/= na ushee),... na hicho kipigo kitakatifu...
Yaani sijui nianzie wapi kumpa ushauri!