Maty
JF-Expert Member
- Aug 24, 2010
- 2,167
- 725
Ndege aliye mtini, hawezi kamwe kulia,
Labda aliye shimoni, hewa imempelea.
Hivi ni sababu gani, machozi hawezi toa?
Ndege aliye mtini, kamwe hawezi kulia.
we babu we kiboko kila fani umo? nimekuvulia kofia, bora wewe sasa teamo ndio sikudhani kabisaaaaa kumbe watu wana vipaji humu lol