Mtoto wa ndugu yangu ana miaka 12 yuko darasa la 4 amerudia darasa mara kadhaa ila mpaka sasa hawezi kuandika wala kuhesabu. Mfano hawezi kutofautisha pesa za sarafu. Ila sio taahira, ni nadhifu, ana kigumizi kiasi. Kwa madaktari ktk hospitali kubwa hawajagundua kitu. Je, hii yaweza ikawa nini na wafanyeje?