CHEMPO
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 368
- 59
Nimejaribu kutafakari kauli hii ya mchungaji msigwa nikajiuliza maswali yafwatayo:
1.kibajaji na komba wanawezaje kuongea na kupigiwa makofi na maprofesional?
2.kwa nini sheria za bunge ni kwa ajili ya wapinzani tu?
3.kwa nininchi inaongozwa kwa kodi za walevi na wavuta sigara?
4.kwa nini mkuu wa nchi hajui sababu za umasikini wa nchi yake?
Nisaidieni jamani
1.kibajaji na komba wanawezaje kuongea na kupigiwa makofi na maprofesional?
2.kwa nini sheria za bunge ni kwa ajili ya wapinzani tu?
3.kwa nininchi inaongozwa kwa kodi za walevi na wavuta sigara?
4.kwa nini mkuu wa nchi hajui sababu za umasikini wa nchi yake?
Nisaidieni jamani