WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 956
Kuna kipindi cha radio kinazungumzia mada ya mahusiano baina ya wanawake na wanaume.Kitu kilichonistua ni ujumbe uliosema " akikutaa kimapenzi basi na urafiki ufe".Ina maana wanawake na wanaume hakuna urafiki isipokuwa mapenzi? Inakuwaje kwa wale ambao hawana " uwezo" wa kutoa penzi ?